Wadau hata mm Nina tatizo kama hilo ni Mda mrefu kwa sasa, inanikosesha Raha kabisa mara nyingi jion ukitoka kuoga mwili Mzima unawasha kama dk 3 had 5. Nmetumia dawa za minyoo, allergy etc. Najiuliza maswali shida ni nn ktk hi ngozi
PACKAGE NZURI NA MTINDO WA DELIVERY NI MUHIMU
Wazo zuri ndugu, kama walivyopita washauri wengine. Kwanza unatakiwa utembelee eneo husika na kuangalia uhitaji gharama za usambazaji, pia kwa ushauri wangu kwa kuwa arusha ni jiji kubwa package yako na deliver transit inabidi iendane na mandhari...
hakuna nchi yenye watu wa rangi nyingi kama tanzania, weupe pee, weusi tii, maji ya kunde etc, inawezezekana hii ni ushahidi tosha ya watu waliotoka katika safina na kuanza maisha mapya wengine walienda zanzibar wengine wakabaki bara. ikaitwa tanzania....
hey! kelvo kuna dada mmoja ana sifa zote za kufit hiyo possition na yuko ktk process za kutafuta sehemu nyingine kutokan na mshahara kutokidhi mahitaji em onyesha range ya mshahara kwani yeye . 1]ni mwaminifu 2} ni mchapakazi 3]mbunifu 4]mzoefu 5]yuko ktk wilaya ya temeke.6]anna miaka 22. je...
kama kuna mtu yeyote ameshawahi omba mkopo na akapata naomba nijue, coz hapa mjin wajanja wengi mdogo wangu aliomba mkopo mwaka jana serikalini hakupata now anataka a jaribu ktk h NGOS hyo niliyoitaja hapo juu. kaniuliza nimeshindwa kumpatia jibu,nikasema ngoja niwaulize wasomi wa JF. kwamba hi...
hiyo m.7 bora ufungue duka la nafaka za jumla :eyebrows:ndugu yangu. demand yake hko ju cku zote. uchague location nzuri then usimame mwenyewe ili uisome biashara na mzunguko wake kama mwaka hv.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.