Nassari ametereza au ameteleza kwa wenye kujua lugha hilo halina ubishi tusipende kutokoselewa. Hakujua impact ya maneno yake na changamoto iliyopo kwa sasa katika siasa na kwa hilo yule anayeona kichaka tu basi haja imempata au kama ni pumu imepata mpumuaji
Ni kweli NN alitakaje ili aone. Wakati mwingine tusipende sononeka kama mtoto aliyepokonywa peremende. Kama hakuandika ni kivyake, jamani huu msiba si wa mmoja ni wetu sote ile kama fulani katika msiba yeye alifata pombe akitegemea ni pombe mwache anywe. Si wote watalia kama unavyolia wewe. Kila...
Kuna kitu kingine wadada wa siku hz wanapenda sana kuolewa na akimpenda mwanaume haambiwi kitu hapo. Kwa rika la mumeo either ndio pesa imeanza kuchanganya nakujua utamu wa mabibi wa nje. Cha muhimu my dear kaa chini na mumeo muyaongee. Na usipende tabia ya kumchunguza bata anakula nn hakika...
<br />
<br />
Well said jina lingine Lema walikuwa wanamwita Njiwa walimuua btwn 2002 na 2004 alimuoa mtoto wa Balisidya na alikuwa rafiki sana na jamaa aliyeanzisha kuleta Sausage za Farmers Choice. Huyu Zombe anachanganya habari tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.