Musimkufuru Muumba kwa kusema Dini Imeruhusu, na wala musiseme waarabu ndio walioanzisha kwa maana hata wazungu ndio wanaorikodi na kujiuza mitandaoni na nyingi wanakulana Tigo, Hiyo ni hulka ya mtu mwenyewe maana hata Waswahili wanaliwa tigo vile vile nenda ukasearch Binti wa kizaramo akiliwa...
Na we Shizukan aliyekwambia Oman wanawake wanafugwa nani? Mbona kuna manight club na wenye tabia za kujirusha wanajirusha mpaka majogoo. Usizomokezomoke tu wala hujui nchi za watu, Kwenye Gulf countries nchi iliyokuwa bora kuishi basi number 1 ni Oman, haya njoo nakukaribisha
Huwezi ukasema uarabuni tu, kwa maana uchimvi kama huo hata wabeba box ulaya wanafanyiwa sana tu, cha msingi ni kufundisha jamii wasiendekeze uchimvi, mana hata uarabuni na kwengineko waswahili wenyewe ndio wenye business zao za kuleta wachimvi, wala musilipinge. Na msema peke hana kosa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.