Mwenye information kuhusu hii company naomba anisaidie. Walitangaza kazi za Research assistant kwenye zoom wanataka nicomferm kazi lakini nilipe 10,000 kwa mpesa au tigopesa! sijawaelewa hapo! naombeni msaada wenu.
Inauma sana kama tutaanza kubaguana kwa kuangalia chuo ulichosoma bila kuangalia ufanisi wa kazi!! Sasa kazi tutapata kweli?? bado hajaangalia dini, mfuate kabila, mfuate mkoa ........... Wakubwa zetu mnatufundisha nini???
Dada yangu pole sana ila usikate tamaa, endelea kusaka Mungu atakusaidia. Ila unapoexperienc hayo ujue mema yanakuja, cha muhimu endelea kujitunza usije ukafanya uamuzi wa kujutia baadae!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.