Pale halmashauri kuna usumbufu mkubwa kwa watu wanaofika pale kupata huduma,matharani kuna watu walienda pale kupata huduma lakini walikuwa wanalalamika kwamba mara unaambiwa fail lako halionekani,mara mpaka ujaze opras ndo ushughulikiwe.
Masecretary ndio usiseme, wana nyodo hakuna mfano.haya...
Kuna mtu aliniambia ukiona mtu viatu vyake pale mbele vinaangalia juu baada ya kuvivaa muda flani hata kama haviko hivyo ujue ni mpiga puri mzuri maana huwa anasimamia vidole hasa akiwa bafuni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.