Mkurugenzi nakupa posho, ulinzi na gari then utangaze mpinzani kashinda unaakili kweliii? Pia nitamwomba mh raid msamaha kwa kupoteza Kata moja ktk mkoa wangu
Sawazisha mazingira ya kufanya siasa kW vyama vyote then watu wafanye KaZi kwa taratibu na sheria na ciyo mashinikizo then ndo mje na hoja zenu za upinzani umeshuka
Ukisoma ualimu kuna kozi inaitwa upimaji( measurement and evaluation) ktk kupima ni lazima useme unalenga kitu flani sasa unaposema upinzani umeshuka unakuwa haueleweki kwani racing must be in plain ground btn two opponent if not that then we can not call it race .
Binafsi siwashauri kususia uchaguzi kwani ndo itakuwa mwanzo mpya wa kupotea kwenye jamii ila waende kwenye uchaguzi then wakawaeleze wananchi hali ilivyo na nin cha kufanya
We hujasema unataka kusomea ki2 gan, ivyo tafuta preference yako then ndo urudi hapa ila ajira za uhakika ni JESHI[magereza, police, uhamiaji na tanapa] 2 afya, kilimo na elimu
Ukisha sainisha kote[kwako na kule unapokwenda] unachukua kibali cha kukubaliwa kule unakotaka kuhamia then unarudi kwa afisa utumishi wako atakuandikia covering later ambayo utaipeleka Kwa RAS mwenyewe bt sharti uwe na 1 Barua yako ya kuomba uhamisho, copy ya kitambulisho chako, 3 salary slip...
Kumekuwa na hali ya kushangaza sana siku za hivi karibuni kwani vyombo vya habari vimeripoti sana juu ya tuhuma za SEMBE na PEMBE ZA NDOVU. Na cha kushangaza zaidi ni kuwa kila Mtanzania anayekamatwa China ni Madawa ya kulevya[sembe] na kila Mchina anayekamatwa Bongo[Tanzania ni pembe za...
Kwa sasa ndani ya chama kikuu cha upinzani[CHADEMA] kumekuwa kunakutofautiana mawazo kwa Makamanda wake,kiujumla CCM na vibaraka wake wamekuwa mstari wa mbele sana ktk kuchochea ufa baina ya makamanda. Huku wengine wakijifanya watabiri feki wa Kifo cha chadema mfano wiki iliyopita Mzee wasira...
Mleta uzi unaakili za samaki kwani unaonekana ni mkurupukaji kwan zito hajafukuzwa ila amevuliwa uongozi, pia unabwabwaja tu bila ushahidi weka picha ya hayo malori chadema iliyoyakodi na si kubadili matumizi ya kichwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.