I wish ungejua hata wasomi wa Tanzania nao ni kama hawa walimu. Kwa elimu yako wewe (Division 1) umeifikisha wapi Tanzania!! Sidhani kama hawa wa division 4 hawakukukfundisha wewe na kufikia hapo ulipo ukadhiriki hata kuwatukana. SHAME ON YOU.
Jamani ndugu zangu wapendwa wa JamiiForum.. Nimejaribu kusikia japo kwa ufupi tu na kuamua kuzima TV kwani kauli za Magufuli zimenikwaza!!! Hivi barabara zinazojengwa Tanzania kwa misaada toka kwa wahisani ni bure? Kama si bure ni nani wanatakiliwa kulipa deni kwa wahisani!!! Yeye kasema CCM ndo...
Binafsi naona ni dhana ya ccm na wadau wake kupandikiza chuki dhidi ya CDM. Hata wafuasi wake sasa wamekuwa na itikadi hiyo ya kusema maovu yote ni CDM. Sidhani kama kuna ukweli dhidi ya CDM. Polisi kazi yao ni kujua nani alihusika na ni kwanini. [Atupe muongozo wa polisi unasemaje]
Mtampa huyo Dakitari... Lakini ukweli utabaki pale... in TZ bila (Ukenya 2007). Tutabaki kila siku bora ya Jana. Remember, alikuja Mwinyi tukasema bora Nyerere, akaja Mkapa tukasema bora Al haji(mzee wa busara), akaja huyu dakitari wa kenya tukasema bora Kibosile Mkapa,,, jamani ina maana ccm...
:whistle: Mweshimiwa, nadhani wewe una ka-upungufu kidogo ka mawazo. Si Slaa asiye kuwa na elimu ya kutosha. Labda wewe ndo std 7 ya 2000. Jitahidi kuendelea kusoma zaidi ili uweze pevuka kimawazo. Huna strong evidence ya kusema hayo kwa kadamnasi hii.... Kawaulize wenzio kijiweni wakupe wasifu...
:A S 103: No comments, Japo Tarime ilikuwa vile, serikali kwa ujumla iliweza kutenda haki kwa chaguzi zote. Hakuna kilichoibwa baada ya pale. Labda Arusha nao wame-ihnerit... lets c after 31/10/2010
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.