Mara mia Jeshi kuliko hawa wanasiasa wa kibongo, hivi kama Kiongozi anayedhaniwa kuwa anaweza kuongoza nchi anaweza kushindwa kutumia busara na kuanza kulumbana na vyombo vya dola, wapi atalipeleka taifa? Mwandishi anafariki katika mikutano yake anatumia msiba kama mtaji wa kisiasa, Mwanasiasa...
Hahaaaaaaaaaaa, Huyo ndo nani sasa? kazi tunayo. Tuliokuwa tukiwafikiria angalau sifa zote hizo hakuna, hata kanisa limewashinda kuongoza, ndoa za watu ndo hivyo zinavunjia kwa ajili yao, nidhamu jukwaani sifuri mtu wa kuropoka tu. ZITTO anaweza kufurukuta kidogo, dogo anayo IQ ya kutosha na...
Mbona mleta mada ameonesha wazi kuwa ni Nyerere tu ndiye aliyekuwa Rais msafi, na mbona mashambulizi ni kwa JK pekee? hata akiondoka JK bado lugha zitakuwa hizi hizi kwa atakayekuwepo wakati huo, huu wimbo wa kawaida wa majungu.
Siyo kwamba umekosa cha kuchangia hadi unaanza kutukana bali ni mada yenyewe ambayo imekaa kipropadanga na ambayo imezoeleka machoni, vichwani na mioyoni wa watu wasioitakia mema tanzania hii. Rais siyo balozi wa nyumba kumi asisafiri. Hivi kama ili mtu kuwa kiongozi wa Chama cha siasa tu...
Mbona unaongea yale yale unayoyapinga, kama balozi anaweza kumwakilisha Rais nchi za nje, huko Matongo Nanguruwe na kwingineko lazima aje Rais kweli, hakuna watendaji wengine? Hivi unategemea kweli Rais aje awambie wananchi wa Matombo kuwa ni kosa la jinai kutoheshimu mamlaka zilizoko kisheria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.