si kweli, ni wachache waliotoboa kupitia miradi. Wengi maisha yao ni ya kawaida na wengine maisha yao ni magumu zaidi baada ya kustaafu wanahangaika na contracts kwenye private universities. huu ni ukweli niliouona baada ya kufanya nao kazi zaidi ya miaka 10
Kuna school mate akiwa secondary alikula suspensions kadhaa kwa makosa ya nidhamu, ila sasa ni mkuu wa wilaya mojawapo. Sidhani kama vetting zinafanyika ipasavyo, ni connection tu
Yes kwa makosa ya speed na bima itakuwa ni vuziru kutumia kamera, lakini sidhani kama kamera pekee yake zitaweza fanya inspection ya ubora wa magari, kukagua mizigo na mengineyo, bado watahitajika askari kwaajiri ya ukaguzi wa magari. Labda ukaguzi kama huu pia ufanyike sehemu ambazo zina kamera pia
Pole ndugu kwa kuondokewa na kaka, huwa tunawadharau tukiwa kwenye hizi nafasi, lakini tukifa wale tuliowapuuza ndio wanaotujali.
Siku moja pasipo kutarajia nikiwa natoka stendi gari ilizima ghafla, nikajaribu kuiwasha laa, wakati huo gari zingine na mabasi yameshaanza kupiga honi maana...
Kununua hybrid car ilikuwa ni mojawapo ya maamuzi magumu kuwahi fanya, kila mtu alinikatisha tamaa, lakini sasa ni zaidi ya mwaka na sijutii maamuzi. Consumption ni mpaka 27km/l kutegemeana na uendeshaji. Hakuna service yoyote niliyofanya zaidi ya kubadili oil na oil filter
Siku moja nikiwa car wash Mbezi, nilikutana na jamaa mmoja alinipa ushauri kama huu hapa, sijui ndio wewe? ila nilipuuza. Anasema yeye alifanya set up ya mziki wake Nairobi. Anasema huo mziki ni babu kubwa. kama hutojali naomba unipe contacts za fundi ambaye tayari ana uzoefu huu. Asante
hivi kwanini sisi tuna overcharging mindset? ukiangalia hata kwenye uagizaji wa bidhaa kutoka nje hasa magari is the same story. Hivi wahusika huwa hawayaoni haya?
NIngekushauri fit, ninayo hybrid version yake. Tangu nimenunua siwajahi badilisha chochote kile na haijawahi nisumbua. route za town napata consumptions ya 18-20km/l, safari za mikoani napata mpaka 26km/l
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.