Niliipenda sana timu yangu hii, lakini kutokana na mambo yanayofanya na baadhi
ya Viongozi nimeamua kujiondoa Simba. Ni mimi Mzee wa Kurekebisha wa hapa
Jamii Forums, nawaachia timu kina MO.
Mi natamani kuwa milionea tu mdau labda hapa tupeane maujanja sasa hata nikifa watasema nimekufa nikipambana nimeshachoka kupambania mademu wakali sasa na mimi nataka noti.
Wadau kwa miezi kadhaa nimekuwa katika hali ya kukosa Raha baada ya kubaini
katika wanawake nilioshirikiana nao Wanne wanadaiwa kuwa waathirika. Mmoja
kati yao nina uhakika wa 100% kuwa anatumia dozi maana hata mwenyewe alinithibitishia
hilo baadae kabisa.
Kwa miezi 6 mfululizo nimekosa hata...
Miongoni mwa watu ambao wanaongoza kwa Chai hapa JF basi Mshana na Gudume
ni Kiboko hebu nisaidie memba wengine wana chai safi niwatafute Kidogo maana kwangu
huu ndo uwanja wa kuondoa Msongo wa mawazo.
Ikiwezekana tuwekee baadhi ya Link za hizo chai.
Nimejiuliza sana hii kitu, naona kama wenzetu hawajui kabisa mambo ya Ulozi kwa sababu nayaona tu katika bara la Afrika na Asia. Wakuu naomba kufahamishwa ukweli bila kuhusisha Movie zao ambazo zimejaa uongo uongo tu.
Siku niliyofumaniwa nikanusurika kulawitiwa yaani nawaza wangefanikiwa tu Ningejiua mkuu
yaani yule mwanamke alinidanganya kuwa hana mtu, halafu sikuonja hata Kidogo. Shukrani
kwa yule mchungaji aliyewanasihi wasinifanyie chochote kabla ya kunisikiliza. Baada ya maelezo
yangu hata wale masela...
Dah! Umenifanya nitafakari upya, hakika hivyo vitu havipo kwa bahati mbaya.... Natangaza Rasmi kuhama kwenye kundi lile kweli kabisa ndugu yangu maana nilishaanza kupotoka hasa baada ya kuona Post za baadhi ya wachangiaji wakimtukana Mungu waziwazi na hakuna linalowakuta, basi itakuwa...
Mimi nimeenda Congo, wana njaa sana kule ila wanatupenda sana
watanzania, kuanzia Askari mpaka Raia. Wanapenda sana tabia yetu
ya kupika na kuwagawia kwenye malori ya Watanzania hawaibi. Askari
wanatupenda kwa sababu tukifika mipakani tunawapoza ili tupite haraka
wengine hawafanyi hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.