wale wote watanzania wasinaompiga maneno ya chuki lowassa, wamekosa uzalendo wa nchi ya tanzania......kwani lowassa ana nini? kuwa ukawa ni dhambi......tatizo lenu ccm ni nini kwa lowassa......watanzania wamechoka sana na maisha magumu....watanzania wamehamua wanataka mabadiliko katika mfumo...
ccm wengi ni mambulula kabisa....iki ni kipindi cha kampeni, wao wanabaki kuwasilikiza wakina lipumba, slaa....na wengine na kutumia vyombo vya habari kupotosha umma.....watanzania tufikie hatua ya kuangalia sera na mtazamo ya nchi yetu!!! mtu yoyote anayeongelea mtu....huyu ni masikini wa...
IMANI WALIKUWA NAYO WATANZANIA KWA LOWASSA.....hakuna wa kutudanganya.....Lowassa ndio rais, bado kuapishwa.........ccm stop talking about lowassa......
hata usime fact zote, huwezi kuzuia mafuriko, wala huwezi kudanganya watanzania .....october 25 /10/ 2015 utaona mabadiliko ndio utajua swala wanaweza kukubadilisha na ukafurahi kuisha maisha mazuri katika nchi nzuri Tanzania...............usiwe mjinga kupoteza muda kufikiria mtu ambaye...
kanda ya ziwa.....wanaelewa na wanajua ccm ilichokifanya....utajili wa ziwa, madini umekuwa hadithi kwa kizazi cha wasukumu.......magufuli ni mtoto mdogo sana....lowassa ndio rais
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.