Search results

  1. Hollo

    Rais Samia Suluhu Hassan afanya uteuzi wa mabalozi; wamo Hoyce Temu na Togolani Mavura

    Naona JK kaamua kuwa Rais wa awamu ya 6.
  2. Hollo

    Maulid Kitenge ni tajiri kiasi gani hadi asafiri mataifa mbalimbali kiasi hicho?

    Punda huyo. Ipo siku atakuwa kwenye 18.
  3. Hollo

    TANZIA Teddy Mapunda Afariki Dunia hospitali ya Aga Khan Dar

    Unataka uende kwenye mazishi ?
  4. Hollo

    TANZIA Teddy Mapunda Afariki Dunia hospitali ya Aga Khan Dar

    R.I.P dada. Ikute uliwekewa sumu kwenye sahani yako.
  5. Hollo

    CHADEMA mnachukua ruzuku ya nini wakati Wabunge 19 mmewafukuza?

    Kweli Magufuli alikunyoosha. Naona Umerudi JF. Back to the topic,kumbe pesa wanachukua ?😂😂😂
  6. Hollo

    Tetesi: Kuna taarifa za Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar kufariki dunia

    Hivi kumbe zilianza kama tetesi ?Ka yale yajayo ya TOCHA.
  7. Hollo

    William Malecela (Le Mutuz) anaumwa, tumuombee

    Huyu atakuwa alikuwa na pulmonary Odema. Nilisoma mahali kanyonywa maji kwenye mapafu. Na hii inasababishwa na pressure kwenye left ventricle.
  8. Hollo

    Msemaji wa Simba SC, Haji Manara amuonya Maulid Kitenge kwa uzushi wake usiovumilika

    Punda Huyo plus bisexual. Ila pia labda kweli Morrison ana ugomvi na coach.
  9. Hollo

    Diamond Platnumz apata shavu kutoka kwenye movie ya Coming 2 America

    Huu uvumi sijui nani aliuanzisha.
  10. Hollo

    Hii Coming 2 America sijaielewa...

    Mbovu kweli. Kilichonipendeza ni mavazi tu na washiriki. Ila story mbaya sijaelewa kwa kweli. Nimepoteza 12$ za bure.
  11. Hollo

    Al Ahly 2-2 AS Vita | CAFCL

    Kama Simba walivyologa. Kuna mpira ulipiga mwamba mara mbili.
  12. Hollo

    Al Merrekh 0-0 Simba | Al Hilal Stadium | CAF

    Kama ilivyokuwa kwa Simba leo.
  13. Hollo

    Nilivyoyaona maendeleo ya Tanzania baada ya kuwa Ulaya kwa zaidi ya miaka minne

    Bus station za nini sasa kama hapo Mbezi. Stand tunapita tu. Ulaya wanafikiria mbali.
  14. Hollo

    TANZIA Mhandisi Charles Salus Ogare wa DART afariki dunia

    Mgwassa kafariki juzi. Na ndo alikuwa CEO wa hili shirika.
  15. Hollo

    TANZIA Mhandisi Charles Salus Ogare wa DART afariki dunia

    Mgwassa nae kafariki. Halafu na huyu wa sasa si ni kampuni moja ?Waliambukizana ?R.I.P
  16. Hollo

    Suala la Mashoga lamponza Dudubaya. Apandishwa kizimbani kwa makosa ya kimtandao na kutoa lugha za matusi dhidi ya jamhuri na Kusaga

    Kesi nyepesi sana.Joseph.Kusaga kafahamu vipi ni yeye wakati hapo imeandikwa Joseph ?Pia ana uhakika gani Dudubaya ndo kaandika ?
  17. Hollo

    Naombeni wazo niweke content gani katika YouTube yangu?

    Weka umbea kuhusu maisha ya mastar wa bongo,michezo hapo utatoka.Watanzania wanapenda umbea wa DiamondiZari ,Wema kuliko kula.Mtu yupo tayari akose msosi ila asikose hela ya bando ya kuingia youtube.Kila lenye kheri.
Back
Top Bottom