Habari waungwana...mm ni mjamzito wa miez kadhaa hv..tatizo langu ni kutafuna mchele mbichi jamn..na nimeanza hv karibun kila baada ya masaa 6 hv lazma nijisikie kuutafuna mchele..je kuna madhara yeyote juu ya hili..na km ndio nn nifanye mbadala ili niache kabisa hii tabia.???
Haa haa....huna shida ya kazi hapa kuna nafassi ila take home n 400000...kumbuka mshahara unapenda kuendena na viwango..km vp endelea kusubiri tu kwingne kwa laki 6
Mkuki kwa nguruwe daftar kwako lilifuata lini?au ww mwalimu wa rafiki yako ulikuwa unamsahihishia!!!dawa n kubadili tabia tu hamna njia nyingne!!!na sion cha kuumia ww km anakufuatilia na ww hufanyi hayo!!!ww mwache akufuatilie atachoka mwenywe atakaporidhika!!!
So hata mkeo mtakuwa mnaishia hotel co?muhimu tafuta kwako pafanye utakavyo km a/c na kila kitu..nina uhakika migharama isiyo na lazima itapungua..pia utulizane..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.