Wait a minute. Kuna watu humu wanataka kujifanya more pure than purer. Wezi wa Credit card tunawafahamu humu JF lakini hivi sasa baada ya kupewa pipi na Mafisadi wamekuwa mstari wa mbele kumkashifu Dr. Masau. Now kama Dr. Masau alisoma nje na kuwa na account huko nje whats the beef? Je wale...
RA anasema yeye anaweza kutoa free lunch kwa akina Mtikila tu ambao hataki watoe uvundo wake; atafanya kila kinachowezekana kumwaga pesa, leo kamwaga pesa kwa waandishi wake ili waandike upupu na wengine wako hapa hapa wakiendeleza libeneke.
Je hizi pesa anaokota? Biashara anazojisifia ni za...
Usafi hautokani na kujisafisha kwa maneno na mbwebwe bali matendo.
Matendo yake yanaonyesha jinsi alivyo fedhuli na jinsi alivyojipatia mali isivyo halali. Je katika biashara zake ambazo anazifanya amelipa kodi kiasi gani? Sio swala gumu kwa mfanyibiashara aliyebobea na mwenye uwezo mkubwa wa...
Kwanza wewe kubali kwamba ulighushi Credit Card afu ndio tuangalie ya Mbowe. Hapa ni credibility yako wewe kwanza. Hakuna anayemfata Mbowe hapa ni credibility ya hoja yako. Umeshindwa kuweka ushahidi wa kufeli kwa Mbowe sembuse pumba unazofoka? Au tugoje source yako ya mswahili? Afu rejea...
Kwa nini Viongozi wastaafu wa Zanzibar hawakai Zanzibar? Kuanzia Jumbe, Mwinyi, Salim A Salim n.k. je ni kweli hawapendi kwenda kuishi Zanzibar au kuna kilichojificha? Je wamejenga nyumba zao Dar Es Salaam tu?
Remind us when that talk happened in terms of Kenya adverts etc. you seem to be content on the subject after a long time passed I presume, it might be that you are touched or otherwise. There've been a lot of topics scattered all over this place, it would be beneficial to all of us if you can...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.