Search results

  1. M

    UK immigration process

    All information about immigrating to UK, studying, etc is here: Kongoli hapa
  2. M

    Sakata la Dr. Masau: Msimamo wa Serikali na Hatima ya Taasisi ya Moyo (THI)

    Wait a minute. Kuna watu humu wanataka kujifanya more pure than purer. Wezi wa Credit card tunawafahamu humu JF lakini hivi sasa baada ya kupewa pipi na Mafisadi wamekuwa mstari wa mbele kumkashifu Dr. Masau. Now kama Dr. Masau alisoma nje na kuwa na account huko nje whats the beef? Je wale...
  3. M

    Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

    Bali tumwamini baradhuli RA.
  4. M

    Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

    RA anasema yeye anaweza kutoa free lunch kwa akina Mtikila tu ambao hataki watoe uvundo wake; atafanya kila kinachowezekana kumwaga pesa, leo kamwaga pesa kwa waandishi wake ili waandike upupu na wengine wako hapa hapa wakiendeleza libeneke. Je hizi pesa anaokota? Biashara anazojisifia ni za...
  5. M

    Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

    I thought you/re thinking big, but you don't leave up to your name.
  6. M

    Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

    Usafi hautokani na kujisafisha kwa maneno na mbwebwe bali matendo. Matendo yake yanaonyesha jinsi alivyo fedhuli na jinsi alivyojipatia mali isivyo halali. Je katika biashara zake ambazo anazifanya amelipa kodi kiasi gani? Sio swala gumu kwa mfanyibiashara aliyebobea na mwenye uwezo mkubwa wa...
  7. M

    Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

    Hivi huu ndio muungurumo? Ameshikwa koo sasa zinamtokea puani anaruka ruka tu kama kunguru mweusi mwenye shada nyeupe.
  8. M

    Mkapa above the law?: Allegations

    It was just a matter of time. Now tell your Mr. Clean 'Che-nkapa' to return what is ours and apologize to the nation.
  9. M

    Lowasa alitamka jambo hadharani ndani ya NEC je ni neno lipi ?

    Mbona wewe unaogopa kusema? Si useme aliongea nini? Kwani ni lazima akina fulani tu kuleta data?
  10. M

    The Radar Scandal: Investigation & Progress

    Wakti FMES anaandaa kuweka vitu hapo tunakuomba na wewe utuwekee dozia ya Fitna ya daraja la kigamboni kwani ahadi ni deni au?
  11. M

    Mbowe vs Chifupa + CHADEMA vs Family Business

    Kwanza wewe kubali kwamba ulighushi Credit Card afu ndio tuangalie ya Mbowe. Hapa ni credibility yako wewe kwanza. Hakuna anayemfata Mbowe hapa ni credibility ya hoja yako. Umeshindwa kuweka ushahidi wa kufeli kwa Mbowe sembuse pumba unazofoka? Au tugoje source yako ya mswahili? Afu rejea...
  12. M

    Mbowe vs Chifupa + CHADEMA vs Family Business

    GT Tuambie kwanza ule wizi wako wa credit card kabla hatujahamia kwa Mbowe. Tunataka kukuona wewe ni white and pure more than white.
  13. M

    Rashid Othman: Umeshindwa Jiuzulu!

    Is that an issue?
  14. M

    Rashid Othman: Umeshindwa Jiuzulu!

    If thats the case, why can't you go to your home ground?
  15. M

    Rashid Othman: Umeshindwa Jiuzulu!

    I can buy you a pair 'cause the money you receive isn't enough.
  16. M

    Rashid Othman: Umeshindwa Jiuzulu!

    Whats your bloody point?
  17. M

    Zimbabwe Election: Progress & Results

    Zimbabwe in cross-road
  18. M

    Wastaafu wa Zanzibar

    Kwa nini Viongozi wastaafu wa Zanzibar hawakai Zanzibar? Kuanzia Jumbe, Mwinyi, Salim A Salim n.k. je ni kweli hawapendi kwenda kuishi Zanzibar au kuna kilichojificha? Je wamejenga nyumba zao Dar Es Salaam tu?
  19. M

    **Nairobi City Gallery**

    Remind us when that talk happened in terms of Kenya adverts etc. you seem to be content on the subject after a long time passed I presume, it might be that you are touched or otherwise. There've been a lot of topics scattered all over this place, it would be beneficial to all of us if you can...
Back
Top Bottom