Ukweli INAKERA...
Napenda wale wanaorudisha chenji then anakuambia Karibu tena Kaka kwa Tabasamu ...yaani hapo tu unamwambia baki nazo za Vocha ...mpigie Mama yako tunakuja kuleta MAHALI
NI kukosa ustaraab na dizaini ya wizi wizi
Hiyo ni Service ndo maana tuna hama hama bar kama Chopa kuepuka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.