Hizi ni bastola mbovu sana katika historia, zinazouzwa na Tanganyika Arms Ltd ya moshi. Kama unayo bastola ya aina hii ni bora uwarudishie mapema wakupe nyingine maana wakati utakapovamiwa na majambazi na kuhitaji kupiga hili bastola halipigi. Ni bastola feki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.