Uongozi si kupiga kelele. Ndani ya katiba mpya tunaweka mfumo wa kuwafanyia tathmini Wabunge na kuwawajibisha mara moja pasipo kusubiri eti muda wake uishe! Hii ndio itakuwa kiboko ya waongo na vigeugeu hawa.
Ni lini aliwahi kuuweka umma sawa, huyu mtu? Mtu wa kutafuta cheap popularity maana utasikia ameshika karatasi anatafuta signatures za kumng'oa Waziri Mkuu n.k.
Alisema anaweza kuwaumbua walioficha mabilioni Uswiz kupitia rafiki zake tunasubiri tuone. Ni yeye aliye mtetea mwizi Mhando; Ni huyu...
Katika jambo la wazi linaloeleweka; ukiendelea kusema huelewi; mwenye akili timamu na mwenye shule iliyosimama anayekusikiliza lazima aseme "sijui tatizo ulilo nalo". Ila kwa wasio na akili timamu na wanafiki lazima waseme najua tatizo lako na mwisho wa siku hawawezi kukusaidia.
Well done Prof...
Kila wakati ukiuliza watu kwa undani nini kinatakiwa; ni maneno ya kinadharia tu hakika hakuna ambacho ambacho hakijaelezwa".
Utasikia wanasema kama huyu: "POINT TO NOTE: WanaMtawara hawakatai gesi isisafirishwe kwenda Dar es Salaam, bali wanataka waelezwe ni kwa vipi watafaidika na rasilimali...
Si Bunge linakutana?
Hii iwe ndiyo agenda number one. Lizungumzwe kwa kina na uwazi na kuwekewa utaratibu ili utaratibu wa hizi rasilimali ujulikane na namna ya kuzifahidi ujulikane kabla kila mkoa na wilaya haujazuka na kudai vyake.
Halafu jambo kubwa ni kuhakikisha kuwa wananchi...
Haya mambo ya hivi yanaleta giza sana. Hivi kweli mtu anayekabiliwa na kesi kubwa ya wizi wa ufisadi eti anajiua halafu tunaambiwa kirahisi rahisi hivi bila kuwa na uthibitisho usio na shaka. Hivi hakuna wenye hekima kushauri namna ya kudeal na mambo tata kama haya sawa na lile kifo cha Balali...
Huwa ninamkubali bibi Fatma Almas Nyangasa kwa jinsi anavyojitahidi katika kazi yake ya utangazaji. Kwa ujumla anafaa sana.
Lakini kwa muda fulani sasa nimegundua anapokuwa kazini Alfajiri (12.00 na kuendelea) huwa amenyongónyea sana, anaoneka kutokuwa na furaha na pia kama vile bado yuko...
Kote walipopiganga walianza kwa kusema hatutapigana haya subiri uone kama wewe hutaki kujifunza. Ninachosema ni kuwa mradi wa hao watu si wa kutafuta suluhu toka upande wowote, bado huelewi!! unafikiria mimi naongelea hapa bomba!! Yaani kuna watu leo hii wanafikiri suala la mataifa makubwa...
"
Dunia yote yenye demokrasia ukijaribu mara mbili na kushindwa unawaachia wengine. Halafu kiongozi wa masalia katubu eti kakosea nini ebu nikumbushe na wewe unajifanya great thinker wakati unatoa msamaha kwa kile usichokijua!
Kwamba yale maandamanona malumbano ya wana Mtwara na sasa Taifa zima kuingia katika mjadala juu ya uvumbuziwa gas yameungwa mkono na baadhi ya Wanasiasa wa upinzani na hata wachache wa CCM ni kweli. Kwamba Mkoawa Mtwara na mingineyo mingi wana umaskini iliokithiri ukilinganisha na minginenchini...
Sasa waseme nini kama hawana cha kusema.
Simple:
Ama ni kutokana na uwezo mdogo wa kuchambua yanayoendelea Bungeni au anakuwa hana cha kupinga Mafisadi au kuwashambulia mafisadi endapo yeye naye ni mmoja wao au ni wakala wao!
Alichokifanya ndio kazi aliyoitaka na akapewa. Zitto hawezi kuomba msamaha huyu maana CCM itamshangaa na kumtapika. Hata suala la kutaja wenye fedha Switzerland ni moja ya mikakati yake ya kisiasa ya kutupa mashambulizi ya kupumbaza watu mapema kujihami au kutimiza lengo lake au la waliomtuma...
Alichokifanya ndio kazi aliyoitaka na akapewa. Zitto hawezi kuomba msamaha huyu maana CCM itamshangaa na kumtapika. Hata suala la kutaja wenye fedha Switzerland ni moja ya mikakati yake ya kisiasa ya kutupa mashambulizi ya kupumbaza watu mapema kujihami au kutimiza lengo lake au la waliomtuma...
Puppy unaona hii thread itafichwa mbali sana lakini nitaiibua popote watakapoiweka maana inachoma mkuki moderator yeyote anayetaka kuichakachua. Na nitaipeleka katika mitandao yote . Tusichezewe hapa na watu wasaliti wanaotukana watu wazima na wazee wakati wao ni walafi wa nyadhifa. Unajua JF...
Shukrani Mnyika. kwa hekima pia pitieni na mawazo ya watu hapa maana hapa kuna vichwa.
Ukweli usiopingika Kijana mwenzenu Zitto kawasaliti chama na pia kajidhihilisha katika yale yaliyosemwa toka zamani. Mimi Ombudsman baada ya kupima yaliyosemwa na pia ushahidi wa kimazingira wa jinsi kijana...
Misemo ya jembe ni kishamba na imepitwa na wakati. Huyu kijana kachezea nafasi yake kwa ulevi tu wa madaraka. Hafai kabisa. Halafu nafurahi sana jinsi ambavo hachukuliwi hatua maana hii inamkosesha usingizi akisubiri nini kitatokea kama mtu aliyefumaniwa na asisemeshe chochote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.