Mahusiano si lazima ulale na mtu kwani yanaweza kuwa ya undugu ama urafiki wa karibu. Siku ile Said Kubenea alipokuwa anasema wamevuliwa chupi mbona hawakutoka nje?
Jumbo la Lema (Arusha mjini), Nyamagana - Mwanza (Jimbo hili historia yake haliongozwi na Mbunge mmoja kwa mihula miwili mfululizo), Ilemela - Kwanza na hats kwa Mbowe ajipange.
Kumbe kila MTU ni mgonjwa hapa Duniani, yaani kuulizwa ile umeipataje akaanguka puuuu! je angeambiwa tra wanapiga kambi kwenye biashara yake si angekuwa ........... mbele ya haki?
Alimaanisha kuwa '' utawala wa Farao si kitu kwa Mungu''. Na maandiko yanasema mtu akikupiga shavu la kushoto mgeuzie na la kulia. Maana yake '' Ukitendwa kwa ubaya usijibu kwa ubaya''
Wote wanamakosa watuache tuamue wenyewe. Hapa si uchaguzi na wala sera hazihitajiki cha muhimu tuisome katiba pendekezwa kisha tufanye maamuzi sahihi ama hapana au ndiyo.
Kama Kiongozi wa Dini alipaswa atuhamasishe tuisome Katiba iliyopendekezwa na kuilewa kisha tufanye maamuzi sahihi bila kutushinikiza. Kwani ameamua kuonyesha mapenzi ya Ki-siasa na kutupa Dini pembeni.Kama Yesu angekuwa na Mapenzi ya aina hii basi...................................... Haya...
Niliyoyasema ni kweli tupu, sema tu sisi Waumini wa Ki-Katoliki tunaamini kuwa wa mwisho kuhukumu Nafsi au Roho na matendo ya mtu ni mungu tu. Usiwe mvivu fuatalia yote niliyoelezea hapo juu kwa kujiaminisha zaidi.
Kwa kuwa Askofu Seveline Niwemugizi ameamua kujiingiza kwenye Siasa sasa twende kazi. Niwemugizi hana usafi wowote wa kumfanya awe msemaji wa Waumini wa Ki-Katoliki Tanzania kwa sababu zifuatazo:
1. Ametumia mabavu kuhamisha Makao Makuu ya Jimbo kutoka Rulenge kwenda Ngara, bila sababu za...
Kama ni kweli kama channel ten walivyo tangazo kuwa, eti vijana wanaojiita Vijana waliopitia mafunzo ya Ki-jeshi kupitia JKT wanataka kuandamana kwenda Ikulu kudai ajira.
Ki-sheria za Ki-Jeshi ni kosa la jinai kwa askali kusaliti Jeshi kwa njia yeyote ile, iwe ya Ki-siasa ama ya Ki-maslahi na...
Nimeskitika sana kusikia msemaji mkuu wa Chadema na Ukawa mtandaoni kutetea ugaidi uliopo Amboni. Anadai eti Police wanashambulia wenyewe. Ajue kuwa hadi sasa kupitia ITV, Askari wanne hadi sasa wamejeruhiwa na kuna askari zaidi ya 200 eneo la tukio.
Nashauri Jeshi la Police limkamate Yericko...
Nchini Tanzania siasa ni kila kitu hata jambo lisilo la ki-siasa sasa limegeuka kuwa la ki-siasa. Siku za hivi karibuni kumekuwepo na manung'uniko juu ya watoto wa Shule za Msingi na Secondary kutumika katika kusherehesha sherehe mbalimbali katika mijumuuko yao. mfano; Chama cha Mapinduzi...
Katika maigizo yanayoendelea Bungeni inasikitisha sana Bunge kutojari muhimili mwingine na kujiona wao ni wao na hakuna mwingine.
Hivi inaingia akilini kuanzisha fujo Bungeni kisha eti hoja aliyoleta Mbatia ahijadiliwi leo na kusababisha shughuli za Bunge kusitishwa?. Chukuliwa kila upande uwe...
Wewe haukuwepo Tanzania wakati wa mchakato wa uandikishwaji wa wapiga kura kwenye chaguzi zilizopita, hivyo haujui kilichoendelea.
Kaa usubili maandamano kama kawa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.