**********Binafsi napenda matamasha na miziki, kwa kuwa vyatuliwazzzzzzzaaaaa, naomba kuuliza maswali machachee apaaa
1. Usalama wa halaikiii hapa uwanja wa ndege je upo sawa? (nijuavyo uwanja wa ndegee ni sehemu isiyotakiwa kusanyiko ivii,)
2. Hawa wanafunzi wa shule (na walimu), VS matukio ya...
Mazao ya muda mfupi, wangeweza toa onyo na kuyaacha yakastawi yakishavunwa WEKA uzio wa mita hizo 60. Tangu mwanzo mamlaka husika haikuona tatizo ama ndo mwaga mboga nami nimwage ugaliiiiiiiiiii
Leo hii mesikia Mzee Yusufu abadili mwelekeo na kuanza kuimba qaswida! mejiuliza maswali mengii mfano?
1. Nini kimfanyacho mtu awapo na nguvu na ufahari asiwe mcha mola kiivo?
2. Katika jamii ya kawaida ukiona kijana mcha mola, maneno mengi husemwa juu yakee?
3. Mwanamuziki wa marekani -...
Ni mudasana walioko kwenye mahusiano/ndoa wakutanapo na yeyote yule anayemkonga moyoo na kupandisha mhemuko huwa hutamka maneno hayaaa "Natamani ningekutana na wewe kabla sijaolewa/sijamwoa niliyenayee"
Nimekuwa najiuliza kwa nini wanaume hawavai pete za 'engagement'?
Ni kwa nini wanawake ndio wanaodhaniwa wanastahili tu kuzivaa (ni ili wasibadili mawazo au)?
Ifike wakati Me nao wavae
Ndugu wana jamvi
Itakumbukwa tunatofautiana sana kielimu kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha sita
1. Mabadiliko ya mitaala imewafanya vijana wengi kuwa na upeo tofauti, viongozi walichanganya masomo kama jeografia/historia/uraia == likawa somo moja ....tukaendeleaaa mwishowe ikaonekana...
Jina lenyewe lasadifu, kufuli linalinda banks, nyumbani, nyeti za me na ke, ni kitu muhimu
Najaribu kutathimini ulinzi huu utagharimu kiasi gani hadi hapo uchaguzi utakapofanyika.
Nimuonavyo Daktari anayewajibika na kwenda sambamba na sera za maendeleo ya nchi, endapo akiwa Rais je ziara zake...
EVERY WOMAN SHOULD READ THESE 30 RULES FOR GODLY WOMEN-----------------
1). Never raise your voice for any reason to your husband. Its a sign of disrespect.(Prov 15v1)
2). Don't expose your husband's weaknesses toyour family and friends. It will bounce back at you.You are each other's...
NI jambo la kuigwa na wasanii wa Tanzania, kufanya jambo hata kama ni kwa hisani ya WATU WA MAREKANI lakini likaleta mabadiliko kwa jamii/taifa na nchi majirani
Akon Lighting Africa | Solar power initiative
In far too many parts of Africa, night-time economic activities are practically...
1. Safari ya matumaini
2. Uadilifu,Uzalendo na Uongozi bora kwa Maendeleo ya Taifa
3. Mabadiliko ni vitendo wakati ni sasa
4.
5.
NB Niwazayo;
1. Nawaza hati miliki ya nyimbo za Marehemu na faida kwa familia yake
2. Msafara wa mamba
3. Meno ya NEC?
Mie nafwatilia kauli mbiu tuuu..
Ka mwanamuziki umeshindwa kutunga basi bora uache muziki uliokwisha tungwa ubaki na hadhi yake, mnazifanya nyimbo hizo kuchuja haraka na hatimaye kuharibu hadhi halisi
Hongera kwa wale wanaofanya kazi bila kunakili za wengine na kubadili vijinenoooo
***wimbo wa "hasira za nini eee mamaa...
Because of their important large size, elephants have a huge impact on their environments and are considered keystone species. Their habit of uprooting trees and undergrowth can transform savannah into grasslands; when they dig for water during drought, they create waterholes that can be used by...
1. KISS WITH YOUR EYES CLOSED
Kissing with your eyes open is the most insensitive form of kissing; it just shows that you are not really into it. Imagine if you are kissing someone with eyes wide open and the person you are kissing is also doing same; it's more like you guys are just staring at...
HIV vs EBOLA
HIV: Hello! Who Is This?
EBOLA: Your little sister EBOLA
HIV: Why are you using international number?
EBOLA: I was in Liberia And Now I am in Nigeria.
HIV: How is the business?
EBOLA: I am doing my job very well compared to you. You have been here for the last 30 years and you did...
hapa siulizi maana ya jina umchagulialo mtoto manake mengine huwa yanawaletea taabu/shida/madhara....au MAFANIKIo
Nachokiangalia ni mwelekeo wa majina ya watoto kufanan kwa herufi ya awali
Utakuta idadi ya watoto katika familia wote majina yao yanaanza na herufi moja
D5 (deo, debora, derik...
Yaaaaanniiiiii kingeshapelekwa mahakamani na kufutwaaaa
1. Inabidi ifike mahali tutofautishe ushabiki wa siasa na mahitaji ya wananchi
2. Wananchi bado hawana uelewa wa nini maana ya Katiba (hatusomi) tunasubiri kuhubiriwa majukwaani
3. Fedha inayotumika ni kodi za wananchi...napata shida kuona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.