Kwenye Mkutano Mkuu wa CCM alipopewa nafasi ya kuwaeleza wajumbe machache baada ya kushinda mchakato, alisema ataendeleza yote aliyofanya Kikwete; Bandugu, ni yale yale hakuna jipya.
Nilikuwa JKT Oljoro operesheni Programu ya chama. Mkuu wa kikosi alikuwa Brig Gen Karubi. Kila wakati Maj Gen Makame Rashid akija kambini, ni lazima atafutiwe totoz ya nguvu ya kulala nayo usiku wote...ilikuwa ni kama desturi..unyanyasaji ulikuwepo sana JKT, wanawake walikuwa na wakati mgumu...
Sikonge, umemwelezea vizuri sana marehemu Method Aniseth Mogella aka Fundi, Kiraka. Jamaa nilikuwa naye JKT Oljoro kwa muda fulani kabla ya kuhamia Ruvu JKT. Hii deal aliifanya Makame Rashid wakati huo akiwa Mkuu wa JKT ili awe karibu na Simba SC. Jamaa alikuwa poa sana yaani ni BINADAMU haswa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.