Mim nnayo LENOVO YOGA TABLET B6000-H
Laini moja ya kukata internal 16GB ila haipigi SIMU inatumika kwa internet tu labda na message za kawaida vinginevyo labda WhatsApp call tu nlikuwa naitumia chuoni kwa sasa sina kazi nayo kama vp tuwasiliane mwisho wa bei kabisa ni laki mbili tu haishuki...
Jamaa ni Fundi seremala alikuwa na vijana wake wanamchania mbao porini.
Askari waliwakuta vijana wakiendelea na kazi waliwapiga sana na baadaye kuamuru wale vijana wampigie simu bosi wao. Alipofika alipokewa kwa kipigo hadi kupoteza fahamu na baadaye wamempeleka Hospitali akafia huko...
Siku hizi nikiweka modem bando ninayonunua ya mwezi 1Gb haimalizi mwezi inakata cjui tatizo. Wakati zamani lilikuwa linabaki. Msaada wenu nahisi kunavitu vinaji update mara nnapoingiza modem
Hiyo kitu ipo ila shida inakuja mtu anapokupigia kwenye lain ambayo haipo kwanye simu kwa wakati huo. Kukupata atakupata ila salio litakatwa upande wako. Yaani kwa kifupi inagharama sana nafuu uka nunua simu kuliko hiyo huduma utakuwa unashangaa salio lako linaisha bila sababu.
Hayo madish sio mazuri kwa ku-band na kama Irib inakubali hata katika ft6 iluwe na Receiver yenye uwezo wa ku-edit patch key. Dish lingekuwa solid ningekushauli utegeshe Nilesat 102/201 - Eutelsat 7 West A @ 7° West ungefurahi mwenyewe.
Mi nafikiri ingekua bora ukasema specific channel na hasa kuzitaja kwa majina ndo ingekuwa rahisi kusaidiwa kwa sababu channel zipo position tofautitofauti so unavyoitaja jina itakuwa nafuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.