mashehe wachawi wanatoa mapepo kwa kutumia uchawi, wanachofanya, wanaingiza pepo kubwa zaidi kwenye huyo mtu ili likafukuze mapepo madogomadogo yaliyoko kwenye mtu huyo. hakika yake ikifika muda kidogo, lile kubwa lililowekwa ndani yake, linamla kabisa yule mtu. hakika yake, mashehe wa kiislam...
Jamaniee, ninatafuta uhakika wa Breaking nuz hapa, ndio nitatoa taarifa yoote kama ilivyo. ila kwa kifupi, inasemekana sio muda wakatoliki sio muda wanaweza wakadai warudishiwe mashule yao yoote yaliyochukuliwa na selikali ili wayafanye seminari kama kawaida, pia na mahospitali yao yote. Kuna...
mimi nafikiri mtu anayewabeba kina Rostam na Manji nai JK. wewe mwanakijiji umesema si Jk, ninani sasa? JK hata kina Jeetu na patel amewapeleka lukapu kwa kuwatoa muhanga tu. mbona nasikia amechukua milioni kadhaa kwa sumaiya kwaajili ccm? JK hana ujanja, hana nguvu kwa hawa watu wawili. pingu...
hakukusudia kuua, ilikuwa hasira tu. yaani ile hasira na machungu ya maisha, yalikuja kuishia kwenye kumwadhibu mtoto. si yeye ila hasira ya maisha magumu. najua kwasasa yule mzazi atakuwa anajilaumu, si kwasababu anaenda jela, ila kwasababu amempoteza mtoto wake aliyemlea, akampeleka na shule...
pole mwanakijiji kumgusa rostam usokwa uso, naona amekuvaa na kukutukana vilivyo. ila mwisho wao upo, na unakuja tena haraka sana. watz tumechoka nao, tumechoka, tumechoka jamani.
huyu game theory si ajabu ni manji au Rostam azizi, mbona anaonekana ana hasira sana na huyu Mengi. kusema ukweli, ni mengi tu amejitokeza kupambana waziwazi, nyuma yake kuna watz wengi sana tunamsapoti mengi na tunawaombea mwisho wenu nyie kina Rostam, manji na mafisadi papa. kuna siku yenu...
kweli manji mwaka huu tunaye. kama watu wanajua kuandamana kusapoti vitu, kuna siku utawaona watz kuwa wanajua kuandamana kufukuza wezi. siku hiyo ipo tena inakuja.
watz wa asili ya kiasi, mnatakiwa kujifunza kuwa waaminifu, kama hamtakuwa waaminifu, hamtakuja kufit na watz weusi hata siku moja. nakwambieni. na jinsi watu wanavyozidi kupata uelewa ndo mnavyozidi kuwa kwenye hatari. remember south africa xennophobia(spelling please).
WATZ WA KIASIA...
ndugu, hapa hatupo kwenye ubaguzi wa rangi, na hata hivyo, kama mtu huyo wa rangi ni fisadi, bora abaguliwe. ulishawai kuona wapi muhindi masikini kule kariakoo? unaweza kuwalinganisha na wabongo weusi? hapana,kwenye kazi zao kama ulishawai kufanya ofisini nao, wanaongea kihindi kitupu, hamna...
kikwete hana jipya. yeye ndiye mlinzi wa hao kina sumaiya, ndo maana anachukua hata pesa kwao kwaajili ya UVC, hivi ni kwanini inakuwa hivyo? jamaa hana macho nini? amechukuliwa akili au vipi. hivi kikwete yuko serious kweli? anatuchosha bwana, tumng'oeni mwakani huyu jamaa. ni walelwaleeeee
wengi tutajitokeza mtaani siku hiyo kama ni kweli. tumechoshwa na ufisadi tz. watu wako tayari kwa lolote. selikali inabidi iwe makini sana. siku hata jiwe tu likanza kurushwa hapa bongo, nakwambia watu watarusha hadi funguo zao, alimradi tu hasira zao zilizojaa mioyoni mwao ziwatoke. tumechoka...
tehetehee, topic za leo mwana wa mungu mbona unanivunja mbavu. Kusema ukweli, hiyo ilikuwa ni njaa. si ajabu mtoto alirudi home akakuta hamna msoso kama ulivyosema. ni kweli watoto wa kijijini wakati mwingine huwa wanakula mlo mmoja tu. ndio pengine aliamua kwenda vichakani kukagua kama kuna...
Tumekuwa tukijadili sana humu ndani, mtaani ndo imejaa hii kitu inaitwa deci. nimesikiliza sana Radio za kikristo hasa za kilokole kama vile Praise power radio na wapo radio. hizi ni radio za kilokole za lwakatale na gamanywa. Nimenote kitu kimoja ambacho hakina ubushi, Deci ina connection kubwa...
Halo Mr.president kikwete, kama upo humu JF, hivi wewe mwenzetu, kwa hili hii tuliyonayo leo, kwa kukata tamaa kwa watz kimaisha huku, kwa kutokuwa na imani na selikali kiasi hiki,kwa kushindwa kuwakamata mafisadi wanaorudisha pesa kinyemela na wewe unawaacha waende kiulaini kiasi hiki, kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.