kumkamata ponda ni sawa na kumkamata imamu abdurahaman as sudeis wa masjid aharam wa makka tutaandamana nchi nzima bora mumkamate simba wala hamtatuona barabarani:director:
daud mwangosi chadema mmetangaza mpaka kugawana familia yake na kuihudumia ya ismail hatujasikia lolote mi naamini kabisa huyu mjane hakuna alichoambulia kutokana na rambi rambi za mume wake na hii yote ni kutokana na imani yake marehemu sababu si mkatoriki aiingii akilini afe daudi chadema...
kuipa nchi chadema ni sawa na kununua steka ya mabomu yanayokaribia kuisha muda wake kwamba muda wowote yatalipuka kwanza wanaleta siasa ya utatu mtakatifu na kuwa chama cha vurugu kila asubuhi ikulu haiingiliki kwa vurugu zisizo na maana mbadilike
Nikiwa kama kijana ninaejitambua kwa maana nishakuwa mkubwa sasa kila kitu kinabadilika kutokana na UMRI unavyoongezeka so kama mwana JF mwenzenu nimefikia wakati sasa wa kuwa na mwenzangu ndani ya nyumba ili nipate utulivu. Wanawake ni wengi wenye kila aina ya sifa uzuri na tabia tofauti...
poleni sana wanainchi wa kilimanjaro naiomba serikali ilitafutie ufumbuzi wa haraka sana jambo hili kwani linahatarisha amani yetu tanzania ni nchi ya AMANI na tunapenda AMANI:A S-heart-2:
kwanza kaka steve naomba unapotoa taarifa kama hizi usizipambe saaanaa hayo mambo unayosema kweli yametokea na hali ya amani bado ipo shwari usitoe taarifa za uchochezi mi ni mmoja wapo kati ya waliopata fursa ya kuzungumza leo kwenye ule mkutano ambao mkuu wa wilaya kauitisha vile vile takwimu...
wa tunduru fanya uchunguzi sahihi wa taarifa yako [kwanza idadi uliyotaja si sahihi pili hoja yako inaenda kidini moja kwa moja ukiwa na maana tukio hili waliofanya ni waislam bila kuwa na ushahidi kamili. Labda tukujulishe kwa taarifa isiyo rasmi matukio haya yanayofanyika ni wenyewe kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.