Hawana maelezo kwa maswali ya msingi. Je ni kweli Tanzania bara wapinzani walipata viti viwili tu? Je sasa hili ni bunge la chama kimoja au vyama vingi? Lakini pia nafsi zinawasuta kwa jinsi walivyofeli kusimamia uchaguzi. Maswali kama kuhusu kura nyingi zilizokamatwa zikiwa tayari zimepigwa...
Ndugai na serikali hawalali usingizi. Wanajiuliza na hawapati jibu. Je, hili ni bunge la chama kimoja au vingi? Wakiulizwa wasemeje? Je kuna Demokrasia ya uwakilishi au hakuna? Je wabunge wa kuchaguliwa 264 wa vyama vya upinzani huku bara ni wawili tu? Hii inawasumbua sana kiasi cha kujaribu...
Wakati nchi nyingine zinamlilia na kumtamani, humu nchini kuna familia ambazo watu wao walitekwa na hajui walipo na hizi zinalilia dola ya magufuli kwa utekaji na uuaji. Azori Gwanda aliacha mke akiwa mjamzito amvaye sasa ni mjane na watoto yatima. Hawa wanalia na kulaani dola hii.
Watanzania hawana furaha ingawa hatuko vitani. Watanzania kwanza hawana amani ila wanaimani kwamba haya nayo yataisha siku fulani. Watanzania hawako huru katika nchi yao. Hawako huru kusema wanayotaka bila kuhofu kukamatwa. Waandishi wa habari na raia kwa ujumla hawako huru. Mtu aliyebanwa hana...
Kumbuka, Tume haiwajibiki kumpa kila wakala nakala ya matokeo ni kama itapenda kufanya hivyo. Pia wakala hataruhusiwa kuingia na simu hivyo wala hataweza kupiga picha ya nakala ya matokeo. Hiyo ndiyo system. Magufuli atatangazwa mshindi na system na nyie hamtakuwa na ushahidi wowote!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.