Hussein, tulikuwa twakusubiri kwa hamu kubwa maana taarifa tulizonazo kuwa jamaa wamekufata ili usigombee so kwa sasa tumefurahi ila kaa ukijua kama ni propaganda tu halafu usichukue form au vinginevyo jua tutakumwaga wewe na hao wanaokushawishi usigombee
All the best
Mboka Manyema
Jamani hebu ifuatiliwe hii maana post ya pili ya mtoa hoja hii inasema kuwa ajira haikufata taratibu za kisheria kwamba ameajiriwa kwa mlango wa nyuma! ingefuatiliwa hii ingekuwa tamu sana kuliko kuanza kumtupia mawe mtoa hoja, tunachoamini JF ni mtambo wa kurekebisha tabia so ifuatiliwe ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.