Mkuu hoja yako ni ipi? Mbona jamaa kwenye hiyo clip ameshaonyesha kuwa walifika hadi ofisini na wakaverify brela kuwa kampuni ni halali ndo wakaanza kulipia.
Huyu anayejiita billionea hana pa kutokea zaidi ya kulipa hiyo 100m iliyobaki. Kwanza alishakiri mwenyewe kuwa alilipwa hizo pesa .Alipe...
Hii hela iliyotajwa mbona haifananii hela ya kuagiza malori? Naona ni hela ndogo .Malori tena siyo Lori kwa 129,000,000 ? Au ni advance payment?
All in all tumpe pole mwenzetu kwa kadhia hii
Mkuu hayo maji anayosema jamaa ni kwamba yameharibika , yana wadudu. Mwambie ukweli usijikite tu kwenye maji kuwa sijui kuwa magumu au laini. Maji ya mvua bila kuwa treated yanaharibika haraka sana mkuu.
Hii thread nahisi ina chai ndani yake. Yaani mke aje Dodoma, ajisikie vibaya moja kwa moja mkapime ukimwi?
Hamjaanza na kupima malaria, UTI, Typhoid nk, unataka kutuambia mtu akiwa na ukimwi anajiskia vibaya?
Then eti baada ya kupima mke tu ndo positive! Wewe uko poa. Je kuwa Dodoma huendi...
Nadhani kwanza tujiulize hela yake imepoteaje? Sidhani kama ni chuma ulete.
Mimi nahisi alimpa mtu siri hasa likijana fulani jobless limpenzi lake, lilipofika likamvizia kaenda bafuni au dukani likafungua kibubu chake.
Kama ni kibubu vha mbao kufungua ni dakika sifuri tu.
Sasa bi dada hebu...
Huu ni uonevu kwa Watumishi maana fedha za ujenzi wa madarasa kwa vyovyote vile zilitengwa kwenye bajeti na hazina uhusiano na posho za watumishi.
Nadhani Mh. Mkuu wa Mkoa atafakari upya agizo lake. Mambo kama haya hushusha sana morali ya kazi kwa watumishi.
Mkuu ukumbuke alichonacho Diamond ni kipaji. Sikatai, ni kweli hadi kufika hapo alipo amepambana na kujitahidi kuwa na discipline. Ila sasa nikuulize mkuu Je wote twaweza kuimba??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.