jamani natafuta hiki kitabu- kimeandikwa ni cha kulipia na sina uwezo...sipo mjini
"Fire use: Is it really the cheaper land preparation method for large-scale plantations? By Dicky Simorangkir"
Asante
Safari_ni_Safari nadhani unachoongelea ni nadharia...sana, yumkini waongea bila utaalam fulani...soma vizuri maelezo ya PatPending ndio utaelewa.
Suala sio bei iko juu sana...Guys...kutoa "crushing statements" bila kutoa alternative inakuwa haina maana... umeambiwa inauzwa bei fulani...wewe...
Wakuu hii gari ilikuwa TZT... ikawa inatumiwa na WHO kwa miradi yake...ndio maana ikawa ina hizo DFP maana kulitoka sheria kuwa ni lazima gari zote za miradi ziwe DFP... kwahiyo mtu akiinunua anabadili from DFP to T....XXX tu. Ilishalipiwa kodi kabla.
KWa hiyo ilikuwa gari ya kawaida kabisa...
Toyota Land Cruiser for sale
Year- 1999
km-300,000
cc-4164
Transmission- Manual
Fuel- Diesel
Last owner- WHO Tanzania
Starting price- 39.5m
Serious buyers only just PM me
Wandugu natafuta free software ya kuweza ku-edit .avi files, hizi ni video files sasa kuna nyingine sauti ni mbaya nataka kubadili sound au hata kuongeza au kuweka picha nyingine,
Nahitaji kwa ajili ya window na Mac os
any maujanja?
Kusema ukweli tangu nianze kuangalia haya mashindano ( kwa wiki mbili tu sasa) nakubali kipaji cha huyu WALTER!! kweli ni muimbaji ambaye anaweza kumtia mtu hisia na kumuweka mshabiki majaribuni!! Namtabiria makubwa kama atatulia hivi alivyo na apewe ushauri mzuri atafika mbali....KWANGU... HUYU...
Swali la Mbatia lilikuwa kwasasa wanafunzi badala ya kutumia mfumo wa 3 K's ( ambao maana yake wawe wanasoma masomo matatu tu kwa upeo wao na ndio system ya kimataifa na ndio iliyokuwa inatumia miaka yetu) pekee wao wana mfumo wa masomo nane!!! wanasoma hadi stadi za kazi, geografia n.k....sasa...
Kachemka tena!!!
Leo akijibu swali la Mh Mbatia kuwa ni lini serikali itarudisha mfumo wa 3 K's (kusoma, Kuandika na Kuhesabu), amesema eti serikali itarusidha mfumo wa 3 R's yaani Reading, wRiting and aRithmetic!! Hivi kweli hiki ndio kifupi cha hizo R 3 anazozisema???
Kuna mwingine...
Embu tuwe makini lakini na pia tujiulize yafuatayo ( Nwe jiulize yafuatayo)
1. Ni kwanini Mulugo hakufuata aliyoandikiwa na kupewa katika ppt hadi atoe kichwani mwake?? alitaka ule umma umueleweje?? kuwa anajua sana na haitaji kusoma au??
2. Yeye kama mdau na mwenye dhamana ya elimu nchini...
Embu tuwe makini lakini na pia tujiulize yafuatayo ( Nwe jiulize yafuatayo)
1. Ni kwanini Mulugo hakufuata aliyoandikiwa na kupewa katika ppt hadi atoe kichwani mwake?? alitaka ule umma umueleweje?? kuwa anajua sana na haitaji kusoma au??
2. Yeye kama mdau na mwenye dhamana ya elimu nchini...
Yaani Mkuu Pasco pamoja na kuwa na "Premium Member" ila naona unataka kuanza kudharauliwa!!! Embu tuwe makini lakini na pia tujiulize yafuatayo ( Nwe jiulize yafuatayo)
1. Ni kwanini Mulugo hakufuata aliyoandikiwa na kupewa katika ppt hadi atoe kichwani mwake?? alitaka ule umma umueleweje...
Kweli hii ni too much jamani!!
Hata kama ni Urais, huu sasa ni kupitiliza!! Hivi kweli Rais hawezi kukaa ofisini kwake (magogoni) hata kwa wiki moja tu!! kila wiki safari safari, hatulii!!!
Leo tena yuko Oman kwa ziara!!
This is too much!!
Please Serikali yetu be fair to your cetizens, hizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.