QUESTIONNAIRE
Dear Participants
I am conducting a survey of imported products in the Tanzanian markets for my Masters thesis at Zhejiang University in China. The questionnaire is a part of my Master thesis, in which I am interested in consumer perceptions on imported products to my native...
Ndugu zangu watanzania Nyerere hakuwa mungu wa Tanzania na si kweli kuwa bila nyerere Taifa la Tanzania lisinge pata uhuru,mie naona kuwa mtu ukiwa msomi Lowassa anafaa kuwa rais wa tz. Rais wa uchina wa kwanza aitwae Maotse Dong aliendesha fitna hadi kumfunga Den shaopin na kuua vijana wake...
Mazee mie sishangai sana sophia banda ku anzisha fujo kwetu. nakumbuka miaka 80 kwa tuliokulia bushi miaka ya ujamaa tulipo kuwa tuki kimbia mchakamchaka asubuhi tuliimba hivi "Nawe banda wa malawi kutuvalia ngozi ya simba na kututishia watanzania hatujali hatujali"wimbo huu hadi leo umenifanya...
Hakuna utajiri hapo dada zangu ni ujinga na ulimbukeni wa mshikaji- kwa alikurupuka kuoa-hajui nini maana ya mke. nyumba 2 na magari 3 magofu tu hayo na magadi chakavu.
Kijana abarikiwe kwani hajui afanyalo, nashangaa sana vijana masikini wa kutupwa ndo mashabiki na waleta fujo,hata uliko anzia uislam wenye nao ni wastaarabu. poor tanzania
Sasa serikali ya CCM imechoka kabisa huezi kuwaforce Madr. kufanya kazi, police wa Tanzania hawana maaana kabisa kwani wanatumiwa na wanasiasa wasiokuwa na akili na ndio maaana police wanaongoza Tanzania kwa kutumia vyeti visivyo vyao kutumia majina ya watu wengine, ndio maana wanatii amri hata...
MIAKA 50 YA TANGANYIKA HURU NA MIAKA 47 YA TANZANIA HURU JE NI NINI HASA CHA KU ENZIWA? JE TU ENZI UFISADI ULIOFANYWA NA WATANZANIA WACHACHE? AU TU ENZI UKANDAMIZAJI WA WANAFUNZI WENYE NIA YA KUSOMA NA KULITA MABADILIKO YA TANZANIA MIAKA 100 YA TANZANIA HURU? AU TU ENZI UUAJI WA VIWANDA VYA...
1. A comparative study of consumer's perception of "Made in China" products and India in Tanzania.
any one who wanna work with me for conducting a research you are welcome....634447441@qq.com
oyaaa wadau mbona web ya matokeo haifunguki kabisa kuna nini .....huyu jamaa aliye format link ya matokeo mbona inakuwa haifunguki kabisa...
Nimetumia kila njia kuifungua lakini matokeo imeshindikana pls....wadau nina hitaji kuona matokeo ya wadogo zangu kazaaa....
by
mdau...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.