Tanesco Dodoma tunaomba muongeze kasi ya kuhudumia wateja especially maombi mapya ya huduma ya umeme. Tupo tuliolipia tangu January,2020 Lakini hatujapatiwa huduma hadi leo maelezo yakiwa ni ukosefu wa nguzo Kila unapouliza licha ya wengine kupata huduma akati wamelipia February na wengine March...
Jamani siamini sana katika hilo mbona kuna watu wamepata japo hawana ndugu wala rafiki katika taasisi hiyo...na hakuna hata sumni waliyoitoa...au ndo zali la msafara wa mamba...kenge hajakosa
Tujipange...tujiamini na kujidhatiti pia tusiwe wepesi wa kukata tamaa
Majina yametoka dairly news na (mtanzania ya tarehe 1 June ukurasa wa 26---) Kuripoti ni next monday tarehe 8.6.2015 katika ofisi za mahakama za kanda....all the best.
Mionzi ilishindikana coz mashine ziliharibika, nashukuru mungu kwa sasa zimeanza kufanya kazi tena ila napenda kufahamu kama huduma hizo hulipiwa na endapo bima ya NHIF (blue kama sijakosea) huweza kusaidia.
.....ha ha ha SHAHADA.... Jadilini juu ya wazo lililotolewa jamani kama context imeeleweka....wazo zuri sana keep it up...mbona mimi muosha magari elimu la sita ila nimeelewa mada
Tuwe na subira mwenyewe nipo kwa mtaa ful hasoling' ila napiga kazi ambazo msomi uchwara hawezi fanya na cash kwa hand kama kawa japo za vocha na cv sending....bachelor kando maisha yanakwenda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.