Search results

  1. M

    Watanzania wote wanyeshwa pombe, walewa bila kujijua

    Kwa mliosoma Machiavellianism: Mbinu mojawapo ya kutawala kirahisi kabisa ni kuwasahaulisha wanachi mambo ya msingi ama "kuwalewesha" na kuhakikisha unahamisha fikra zao kutoka katika mambo ya msingi kwenda katika mambo yasiyo na maana na yasiyo na athari kwa watawala. Bila kusema mengi...
  2. M

    Wasikilizaji wa BBC Swahili

    That is not the whole story my friend....WAKISTAAFU HAWA Kina Ngyahoma, Hilary, Machibya etc Tanzania ndiyo itakuwa imefutika kwenye media za kimataifa. Sio kwamba nina mtizamo chanya but the new generation of scribes in TZ just puts me off. Kwa sasa utangazaji Tanzania is tantamount to...
  3. M

    Why UDOM is being isolated?

    Haya mambo hayaendi kiswahili swahili hivi. Kwa yeyote anayependa kuongeza maarifa take note of the following (I have no interest in either side. Haya ni maoni ya kitaalamu.) 1. Tanzania ni nchi inayoendeshwa kisheria. Tuna sheria ya ushindani "Fair Competition Act". Ni kinyume cha sheria...
  4. M

    Je, Watanzania mlio nje ni vibarua na wabeba maboksi?

    Mada imenigusa sana. Ni kweli waishio ughaibuni ni wazalendo sana na wanajitahidi, hii negative attitude dhidi yao sijui nani kaianzisha. Mnafikiri huku kuna loop holes za ufisadi kama bongo?
  5. M

    Jambo Usilolijua: Kambona -"Nyerere... Baba wa Taifa"; Hotuba yake tuliyoisahau

    Nimeelimika sana! Now I can see that this guy was not that bad. Mnao mtetea mwalimu muitendee jamii nzima haki by giving credit where its due. This guy should also be apportioned a part of national heros status.
  6. M

    Spika Makinda achezea Kibano - Bungeni Live!

    viatu vya s6 sio mchezo tehe tehe tehe
  7. M

    Kulikoni jaji mkuu-Othman Chande / Lawrence Masha

    That is a VALID question!
  8. M

    Tofaut kati ya BA-economics na BS-agro-economcs.

    Tunakoelekea miaka 25 hadi 50 mbele degree nyingi sana zitaitwa BSc badala ya BA. Ni kutokana na kuingia katika karne ya sayansi na tekinologia mambo ya arts yanabakia kwenye burudani etc. Sina maana ya kumdharau mtu yeyote mwenye BA, not at al, I ma justing sharing my 50 cents. Kama unaweza...
  9. M

    Makamba: niko tayari kujibu matusi mkinihitaji

    Oh I missed that one, ningecheka sana!
  10. M

    Wilson Mukama: Public and Private Profile

    On my part, simjui sana but the little I know of him, (mainly from political compaigns last year) the guy IS smart up stares. Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni. Inaonekana amesoma vizuri enzi za mkoloni (haja kariri) na anaweza kabisa kusoma alama za nyakati na kuleta mageuzi ya msingi. He is...
  11. M

    Hotuba ya rais Kikwete mwisho wa mwezi Machi

    Mkuu mimi naujua utaratibu mzima, trust me. Base yangu ya ku criticize haipo kwenye boundaries zetu na UNESCO au kukubaliwa/kukataliwa far from that. My concern is the impact of correcting a mistake by another (even bigger) mistake. Wizara haikufuata utaratibu kuomba UNESCO status...rais naye...
  12. M

    Hotuba ya rais Kikwete mwisho wa mwezi Machi

    Hapana mkuu, katika hilo kundi simoio kabisa. Mine is a very professional advice without any malice whatsoever to my president. Kuna vitu viwili 1. Utaratibu wetu wa ndani ya nchi kuomba kukubaliwa kuwa urithi wa dunia 2. Sheria za UNESCO zinavyo tufunga baada ya kukubali ombi letu. One does not...
  13. M

    Msiba mkubwa: Adam Lusekelo Mwakang'ata

    Please tell me this was April fools' stuff!! Lusekelo is gone?????? Siamini!! Mbona hata Michuzi hakuweka habari yeyote na ni colleague wake? Lazima tungepata breaking news za mpambanaji. I really dont believe this....really dont!
  14. M

    Hotuba ya rais Kikwete mwisho wa mwezi Machi

    Mkuu inaonekana tunazungumzia vitu viwili tofauti. Mh rais hapo reference yake ni "utaratibu uliopo" BAADA YA KUJIUNGA akimaanisha sheria za UNESCO zinavyo zifunga nchi wanachama. Hapo yuko sahihi kwa sehemu. Swali langu je sheria zetu zinasemaje kwa taratibu ZA KUJIUNGA? Hapo ndipo tatizo...
  15. M

    Hotuba ya rais Kikwete mwisho wa mwezi Machi

    Bellow is the most unfortunate part of the speech mheshimiwa. We are a part of the international community. We can not act so arbitrarily when it comes to collective issues for the good of the future generation. What image will this have on Tanzania's commitment to conservation? What does the...
  16. M

    Hotuba ya rais Kikwete mwisho wa mwezi Machi

    Hapa sawa japo tunataka kuona haki za binadamu zinazingatiwa 1987 na sasa tofauti kabisa mheshimiwa rais. Na pia sababu za kushindwa kwa idara ya wanyamapori haziko wazi, je hawana pesa? wako demotivated? Halafu kuwa na waziri mmoja tu asiye hata na naibu katika wizara nyeti kama hii kunatoa...
  17. M

    Hotuba ya rais Kikwete mwisho wa mwezi Machi

    Hapo chini substance ni ndogo sana, less than 18%. Ukiondoa ukweli kwamba ni too repetitive na essentially haina ulazima kwani zaira za wizara zote zilikuwa covered na media, the whole thing has nothing new. This is not what a president would say about the "backbone" of the economy baada ya robo...
  18. M

    Kikwete atembelea Maliasili na kushinikiza ashirikishwe katika maamuzi

    Jamani nani anamshauri rais wetu? Nchi zinagombania kupata status ya urithi wa dunia wa UNESCO Tanzania yenyewe ina amrisha kusitisha maombi? Ni kweli swala la ushirikishwaji ni vocabulary katika wizara ya utalii na maliasili lakini kuondoa kabisa hiyo application UNESCO it too much. Naomba rais...
  19. M

    Tanzania haijui inachofanya EAC

    Hii habari imenisikitisha sana, as brief as it is! Tunajipeleka wenyewe kwenye mdomo wa chatu kama mbwa! Kuyafanyia kazi haya itachukua miaka mingine mitano!
Back
Top Bottom