bro ukwaju twaja na taarifa kamili pindi nikirekebishiwa a/c yangu but kama itachukua muda mrefu nita tiririka hapahapa. HUYO ISSA NI BALAA BRO SI UNAJUA PINDI ZA USTAADHI?
general mutabuzi the perfect haya.
Makosa ni mengi kwa uchache tu ni haya; kutoza fine wanafunzi pale wanapochelewa kuripoti shule na fine hiyo kuilipia kupitia mpesa namba ni ya mkewe, kiasi cha kuanzia ni sh.190,000. Ukikamatwa umevaa shati la mikono mirefu nawe sio kiongozi unalipa...
Wanajamvi hii ni temporary a/c yangu hapa jf,natumai kama admn watalipatia ufumbuzi suala la kurekebisha a/c yangu nitaitumia kulijadili kwa kina hili suala, maana sio geni,tutazungumza kama watanzania tutakao mabadiriko na pia kama ilborians.........nitaleta ushahidi wa picha za matukio tangu...
HAUPO vizuri kichwani bro. nani afukuzwe kati ya anayetoza michango feki isiyotambuliwa na wizara ya elimu na bodi ya shule au mwanafunzi anayedai haki yake? yani tutozwe shilingi laki moja na tisini elfu kisa nimechelewa kuripoti shule,nifukuzwe shule kwa kumkataa mkuu wa shule anayenitoza...
HODIIIIIIIIIII Wanajamvi, nimekuja na ID TOFAUTI ingawa hapa ni mwenyeji kama matatizo na serikali ya CCM.IMENIBIDI kukaa nje ya JAMVI hili kwa ID yangu mpaka pale ntakaporekebishiwa na admn.:amen:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.