Niaje watu wangu wa nguvu kutikamuce?
ebwana tunawakaribisha first year wote mliochaguliwa MUCE.
Kiukweli MUCE akuna kuuza sura ni kiytabu kwa kwenda mbele.
kwa wale wauza sura imekulu kwao.
Kwa yeyote anayetafuta kazi sasa umepata suluhisho la tatizo lako. Nafasi ya kazi ni Branch manager wa NSSF. Sifa za mwombaji awe anajua kusoma na kuandika, vile vile mwombaji anatakiwa awe Mtanzania mwenye umri usiopungua miaka 18. Mwisho wa kupokea maombi ni tar. 23/04/2013. Nakuomba popote...
Eti kwenye ule wimbo wa MATHEMATICS wa Roma wa Tongwe Records kuna mistari ameisema eti:
"MAKAHABA WANAONGEZEKA BOOM LINAPOKATA".
vp kuna ukweli wowote hapo? Tiririkaaa...!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.