Search results

  1. Ngamanya Kitangalala

    Kwanini Zanzibar haiwezi kushitaki au kushitakiwa kwenye mahakama/mabaraza ya Kimataifa

    Kwanza kabisa ili kuweza kuelewa dhana hii kwa ufasaha, ni LAZIMA upate fursa japo kwa uchache kusoma nyaraka zifuatazo 1. Katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ya mwaka 1977(The Constitution of the United Republic of Tanzania,1977) 2. Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984, toleo 2010(...
  2. Ngamanya Kitangalala

    Kwanini Job Ndugai amejiuzulu Uspika?

    KWA NINI MHESHIMIWA NDUGAI AMEJIUZURU Katika siku za karibuni nchi yetu imepatwa na moja ya tukio kubwa kabisa katika medani za uongozi wa kisiasa, tukio hilo ni ile hatua ya aliyekuwa Spika wa Bunge la 12 la jamhuri ya muungano wa Tanzania mheshimiwa Job Yustino Ndugai kujiuzuru nafasi...
  3. Ngamanya Kitangalala

    Hao watu inaonekana ni watu wenye nguvu sana

    Hicho kikundi cha watu wa ovyo anachokisema mheshimiwa Rais wetu, kinaonekana ni kama kina watu wenye nguvu kubwa sana Sasa sijui ni kina nani hao wenye nguvu kubwa kiasi hicho? Ni matumaini yangu, kwa nguvu kubwa za kikatiba alizonazo mheshimiwa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania...
  4. Ngamanya Kitangalala

    Waziri wa Kilimo Profesa Adolf Mkenda anapaswa kujiuzulu kwa kutoa maamuzi yaliyopingwa na Rais Samia

    Ukisoma katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, kwenye ibara ya 54(3) inataja baraza la mawaziri ndio chombo kikuuu cha kikatiba cha kumshauri mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwenye mambo yanayohusu utekelezaji wa majukumu yake ya Urais Sasa kama kuna...
  5. Ngamanya Kitangalala

    Mgao wa umeme unatoka wapi kama tulikuwa na uzalishaji wa ziada wa umeme?

    Nchi yetu kwa sasa imepata changamoto ya upungufu wa mvua, hii ni kwa mujibu wa mamlaka ya hali ya hewa nchini (TMA), jambo lililopelekea upungufu wa uzalishaji wa umeme hapa nchini, hiyo ni kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa na shirika letu la umeme hapa nchini (Tanesco) jana tarehe...
  6. Ngamanya Kitangalala

    Mvua za kutengeneza (mvua za Lowassa)

    Mwaka 2006, nchi yetu ilikubwa na ukame, nakumbuka waziri mkuu wa wakati huo Edward Lowassa, alikwenda nchini Thailand, kujaribu kufanya mazungumzo na serikali ya Thailand, ili walete wataalamu wao waje kuleta utaalamu wa KUTENGENEZA MVUA ikiwa ni njia mojawapo ya kukabiliana na ukame kwa...
  7. Ngamanya Kitangalala

    Tuwe makini sana na mikopo hii ya kutoka Bretton Woods Institutions (IMF & World Bank)

    Leo nchi yetu tumepata mkopo wa 1.3 trilioni kutoka IMF (International Monetary Fund) tumefurahia sana watanzania na kupongeza sana kwa hatua hii Lakini ukifuatilia sana mikopo hii, ambayo mabeberu wanasema eti ni mikopo ya masharti nafuu (concession loan) kutoka kwenye hizo taasisi za...
  8. Ngamanya Kitangalala

    Afrika na changamoto ya mifumo ya utawala

    Moja ya changamoto kubwa sana tuliyonayo hapa barani Afrika, ni nchi nyingi za Afrika kuwa na mifumo ya utawala inayotoa MAMLAKA MAKUBWA SANA KWA MTU/ TAASISI MOJA. MAMLAKA MAKUBWA SANA ambayo yanaweza kuamua hatma ya maisha yako na familia yako kwa ujumla. Watu wengi kwa kutambua hilo...
  9. Ngamanya Kitangalala

    Ndege kwa matumizi ya Rais wetu

    Mwaka 2004, kulizuka mjadala mkubwa sana miongoni mwa wananchi, baada ya Serikali ya awamu ya tatu, chini ya hayati Rais Benjamin William Mkapa, kufanya maamuzi ya kununua ndege maalumu kwa ajili ya matumizi ya Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, kwa safari za ndani na nje ya nchi...
  10. Ngamanya Kitangalala

    Kwanini Marais wa Kiafrika hawathaminiwi wakienda Nchi za Ulaya?

    Ndio maana hayati Rais Magufuli, akutaka kwenda kwao😄
  11. Ngamanya Kitangalala

    Spika Ndugai ahoji shughuli za Serikali kurudi Dar, ataka kujua ni nani anayedhibiti matumizi ya Serikali kwa sasa

    Asanteh mheshimiwa spika wa bunge letu kwa kuwakumbusha watendaji ndani ya serikali kuhusu kupunguza matumizi ya serikali
  12. Ngamanya Kitangalala

    Ni muhimu kwa viongozi wetu wa kisiasa kuchagua maneno sahihi ya kujibu hoja za wananchi

    Nakumbuka awamu ya tatu wakati serikali ikitaka kununua ndege ya Rais aina ya Gulfstream G550 kwa thamani ya bilioni 46 Watanzania walio wengi, walionyesha kupinga hatua hiyo, kwa kuzingatia hali ya uchumi ya nchi yetu kwa wakati huo Lakini, aliyekuwa waziri wa fedha wa wakati huo, mzee...
  13. Ngamanya Kitangalala

    RC Antony Mtaka kumsema Waziri mbele watoto umekosea. Kama watoto wakimdharau, watamheshimu nani?

    Binafsi nimepata fursa ya kutazama clip moja ikimuonyesha mheshimiwa mkuu wa mkoa wa Dodoma akiongea nawananchi kuhusu suala la kambi za masomo ya ziada kwa wanafunzi wakati wa likizo. Kama mwananchi nimesiitishwa na baadhi ya maneno yaliyotumika pale. Hoja yangu hapa sio SAHIHI au KUTOKUWA...
  14. Ngamanya Kitangalala

    Kuchafua taswira ya Mkuu wa nchi huwezi baki salama!

    Ukisoma katiba yetu ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ya mwaka1977, kwenye ibara ya 33( 2) Inamtaja Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kama 1. Mkuu wa nchi( Head of state) 2. Mkuu wa serikali ( Head of the government) 3. Amiri jeshi mkuu ( Commander in chief) Hivyo basi, Rais...
  15. Ngamanya Kitangalala

    Ni mabadiliko sahihi yanayoenda kuboresha utendaji ndani ya mikoa hiyo

    Ni mabadiliko sahihi yanayoenda kuboresha utendaji wa kazi ndani ya mikoa yao na serikalini kwa ujumla Mheshimiwa mkuu wa Mkoa Albert Chalamila, mara kadhaa amekuwa ni mtu wa kutoa kauli tata sana kwa lugha nyepesi ni mropokaji, kwa nafasi yake kama mkuu wa mkoa sio busara sana kuwa mropokaji...
  16. Ngamanya Kitangalala

    Naibu Waziri Wizara ya Kilimo na ukuu wa mkoa

    Kumbukumbu zangu zinaonyesha, mara kadhaa manaibu waziri wa wizara ya kilimo wanapata bahati ya kuteuliwa kuwa wakuu wa mikoa Nakumbuka mzee Stephen Masato Wassira, alikuwa naibu waziri wizara ya kilimo, baadaye hayati Mwalimu Nyerere akamteua kuwa mkuu wa mkoa wa Mara Mzee Njelu...
  17. Ngamanya Kitangalala

    Wakuu wa mikoa wamestaafu Utumishi wa Umma kwa mujibu wa mamlaka ya uteuzi wao

    Nimejaribu kuangalia sheria na kanuni kadhaa kuhusu hili swala la KUSTAAFU kwa wakuu wa mikoa. Nimesoma sheria ya utumishi wa umma ya mwaka 2002 (The Public Service Act,2002) pamoja na mabadiliko yake. Pia nimesoma kanuni za utumishi wa umma za mwaka 2003 (The Public Service Regulations...
  18. Ngamanya Kitangalala

    Balozi Joseph Sokoine ateuliwa kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki

    Acha uongo wewe Mheshimiwa balozi Joseph Sokoine, aliteuliwa na hayati Rais Dr John Pombe Joseph Magufuli kuwa naibu katibu mkuu wa ofisi ya makamu wa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, kutoka kuwa balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji Kwa taarifa yako, katibu mkuu( Permanent...
  19. Ngamanya Kitangalala

    Balozi Joseph Sokoine ateuliwa kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki

    Acha kupotosha wewe, mheshimiwa Balozi Joseph Sokoine, aliteuliwa na Rais hayati Dr John Pombe Joseph Magufuli kuwa naibu katibu mkuu ofisi ya makamu wa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kutoka kuwa balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji, hapo alifanya kazi na mheshimiwa Rais Samia...
  20. Ngamanya Kitangalala

    Kwenye utambulisho wa Viongozi katika uapisho wa Rais Museveni, Wakuu wa Nchi Wanawake wametambulishwa wa mwisho kabisa

    Hii hoja kuwa wametambulishwa kwa kufuata nani alitangulia kuwasili nchini Uganda nayo SIO KWELI Kwa sababu mkuu wa nchi wa kwanza kuanza kuwasili nchini Uganda alikuwa ni Rais Mohammed Abdulahi Mohammed wa Somalia na kufuatiwa na Rais Evariste Ndayishimiye wa Burundi ambao wao...
Back
Top Bottom