Utapeli hamna, hela unaweka unapata faida 30% kila mwezi. Kila kitu risk tu katika maisha.Mimi nimeweka ninatoa hela vizuri tu.
Ikikata nitakuwa nimezipata si haba.
Hio ndio shida,Agiza Dsm tu. Kuna wakati nilitafuta Super Kasi ya voda Mwaka jana, hakuna mtu aliejua. Mpaka Ofisi zao zote. Niliagiza Dar es salaam tu. Hivyo Fanya hivyo.
Agiza AliExpress mbona wanatuma tu vizuri. Sema hizi simu sasa hivi kuna feature wameanza kuzitoa. Kuna moja ya kuhide picture na video. Tamu sana. Sijajua itaendelea kuwepo au itakuwa kwenye simu za zamani tu. Yangu Mi 11 lite 5g.
Kichwa kina niuma. Nimeshapoteza 200$ kila mtu akinitumia hela kwa njia zingine.
Process zote. Labda kuweka address nimeweka za Tanzania. Issue itakuwa hiyo au.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.