hiyo ni zuga tu ya madawa ya kulevya yaletayo maruweruwe kichwani.
wala sikushauri ndugu yangu.
Nilipomaliza fomu 4 nilikuwa nafanya kazi ya kumsaidia MGANGA wa Kienyeji aliyejulikana kwa jina la Omari , alinifundisha mambo mengi sana, hasa ya kitapeli, aliweza kumtapeli mama mmoja shilingi...
imewahi kunitokea nikiwa primary mwenzangu alishika sketi vifungo vikakatika nikalianzisha hivyo hivyo si akatubana ticha na wakati huo hakuna body tight wala nini , yaani ilikuwa noma na wapiga picha hakuwepo karibu. unaonaje?
Usipokee kila ushauri maana ukidadisi mwenzio anajisikiaje, au wewe ukaeje ili afurahie, au umfanyeje ili akuone mtamu utajikuta anakupa majibu usiyoweza kuyatekeleza.
Umeuliza swala la Mshahara wa polisi ukisema sio interest ya kisiasa , sasa ni interest gani hiyo,
au interest ya kuingia kazini kama polisi? kama ukiingia jeshini kwa interest ya kupata fungu nono kazi
ya jeshi itakushinda. wale wenye tamaa ya pesa kiapo chao kinakuwa feki. ukitaka upate...
alishawishiwa waibe pikipiki akakubali wakaiba, wakafukuzwa toka gongo la mboto hadi mbagala kuu, wengine wakakimbia yeye akataka awaeleze wenye hasira ukweli wakampa ukweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.