Huo wote ni ujanaa... uzee mwsho wa mbwembwe. Wadada na wakaka ningeshauri muwe mna focus ur future example
1. When u mary a person u plan a long life for both sio?!! Sasa imagine unaoa/ olewa na mhunii do u real expect watoto wawe baraka au mzigo kwa family na Sir God alivyo anawabariki mzee...
Hata mm mwenyewe wakimteuwa huyuu jembe bhana kwa mara ya kwanza ntapga kura. Nkimuamini huyu Dr wa ukweli. Ana maamuzi magumu yenye maslahi kwa taifa. Vijana wavivu na kaz yao kuzurura watakipata ama kwa hakka.
Nina pc ya dell inspirion. Sasa imenizengua nikiwasha inanionesha mistari mingiii mno kwenye display na pia inaniandkia ( windows error) cha kuniogopesha zaidii ni kuwa ina kama ki ufa ambacho kina ink linkage. Maswali yangu ni je
1). Tatizo ni wndow au screen
2). Kama ni wndow mnanishauri...
Seriously vwanja mjinii ni biashara isyoingiza hasara.ilimradii unakaa mbali na danger zone. Hakikisha tuu kuwa ma dr's (magufuli,mwkyembe,na mary nagu) hawana mpango na hio ardhii wthn tym we bi biig booosss
huyo messi leo na mimi niliekuwa kbanda umiza hatukuuwa na tofauti na pengne kwa hali moja nilimzid koz nilipata pa kukaa pemben juice kuliko yeye alieangalia mpiraa akiwa uwanjani tena kasimama si angetoka tuu awe shabiki kama sisi... atubish kuwa anajua ila kwa hili la leo WAJIPAAANGEEE...
1.nilimwambia mama nataka kuwa konda baada ya kumwona anahela xaaaaaanaaa.
2. nkitoka kwenye gar nkaingia nyumban nakuta hamna umeme nashangaa heee!!!mbna kwenye gar upo?
3. wakat nipo darasa la pili nliambiwa ndugu yako kapata one form four ujitahid upate na ww one nkasema mi ntampita ntapata...
MUNGU kakuweka kwenye hio familia uwe msaidiz wa wazaz na ww pia ndo mpatanish kama vp simamia haki na uutetee uovu koz mamako akijua hukumshtua hata kuamin teeeeeena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.