Mtafit lazima upublish ndo njia pekee ya kitaalam kuonesha uwezo wako...pulbication zinakuwa peer reviewed....sisi ambao hatuko kwenye eneo lako tunajenga imani tunapona ur peers wamekubali through publications...unaposema umeshiriki tafit nyingi ni muhimu kusema pia kama nani principle...
Mkuu..i meant to say simply because the idea seems to work..with defined logical path way...does not necessarily mean we have enough evidence to conclude...hapa katika line ya argument ya mtoa mada kuna potential BIAS...so huwez kuconclude based on that....in other words numbers speak for themselves
Mind you daktari akikutana na mtu hata kama ni baa at some point ataanza ataulizwa anything to do with health...mara utaskia afadhali kumbe we dr sasa dr nina tatizo....pili u ought to consider the number of people daktaru anainteract nao na ujue wangapi ana fall nao in lov....or the other way...
Every person ni potential mgonjwa kama sio leo basi kesho utaugua....so mwanamke yoyote akiolewa na daktar unaweza ona kama kaoa "mgonjwa" wake....dont rush to make coclusions....kwa mtazamo huu utasema pia mwalim anaoa mwanafunz....polisi anaoa mtuhumiwa au shahidi.....the argument eti kwakuwa...
Grieving stages
1 disbelief
2 Anger
3 bargaining
4 depression
5 acceptance
Depending on your personality and ability to handle difficult situations, you cant skip any stage but ca go through faster...face it feel it accept in your mind you have lost someone you loved...cry...grief eventually you...
Academic writing haipewi emphasis ya kutosha katika vyuo vyetu...ni kweli unachosema..hata usomaji wa new articles bado watu wako busy wanasoma vitabu most of which vya zamani...cha muhimu ni kuweka conditions tu every masters dissertation lazima iwe published au inapublication potential...phd...
Viongoz wanatokana na kura za wananchi uadilifu wao unapimwana mawazo ya watanzania kwenye box la kura....mgombea binafsi ni muhimu kwa ukuaji wa demokrasia..maamuz ya kupitisha yasilenge watu ila maslah mapana ya taifa...kuchaguliwa kama mgombea binafsi ni ishara ya kuaminika pia
Yaani kwa hesabu za harakaharaka "graduate awe anaingiza 18,000,000 tsh kwa mwezi....kwa mwaka it's about 216,000,000 tshs....how many graduates wanaingiza hizo pesa.!!!kweli limbukeni grow up! Learn to appreciate n encourage other people's efforts...hata Kama huoni ni muhimu kwako kwao ni muhimu...
Mmh I think u setting up a platform for new thoughts and idea well done! " thinking reasonably is the beginning of change" however we can only move forward if there are grounds for people to realise their full potential...and this is what serious governments do....ours has failed us in every...
Issue ni lugha ipi n why....inahitaji umakini and patience angalia Mfano Nigeria wanaafrican languages lakin mpaka leo hawajafikia muafaka Wa ipi itumike wanatumia kiingerezaa sasa hiyo ni Nchi moja...we are talking abt Africa nzima...people are proud of who they are..culture na customs...
Lugha zako embedded deep into people's culture sio rahic Kama unavyodhani...ni mchakato mrefu...na tutafika huko....building is a process kuna mazuri pia yamepatikana....our Kiswahili unify us kwanza it belongs to no one...pili kulifanyika efforts za makusudi pia....letc be optimistic
U guys need to find a better way of sorting out ur problems..having him out of the house won't change the fact that he is ur husband....don't act emotionally give ur self a minute n think the situation in a big picture...it appears at the moment u so raged n all u want is to get back at him....I...
Ur explanation abt pressure ya mkojo sio scientific....morning erection is part of the continuation of REM sleep cycle ....on average a man erects seven to ten times Akiwa amelala unakuwa aware unapoamka ..the truth ni Kwamba u have been erecting over nyt at different time intervals
jesus was sometimes referred to as the "son of man" accordingly christianity Jesus was God part and one in the trinity....matumizi ya neno "MAN" yanategemea context pia..I think he believed in GOD
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.