Search results

  1. U

    Natafuta Cover la simu

    Natafauta cover la simu infinix note 3 x601 kama unayo niambie usijali kuhusu bei, nipo dar k.koo nimekosa. 0717501557
  2. U

    Nataka ku install whatsapp plus kwenye tecno j8 lakni inagoma naomba msaada

    Nataka ile whasapp ya bluee sio kutumia whasapp mbili kwenye simu moja
  3. U

    Kwanini utumie x badala ya s?

    Wanafanya bajeti ya idadi ya herufu kwenye meseji, mafano akiandika mtu herufi 3 kwahiyo anaandika m2 herufi 2 tu,sinajua vijana wasikuhizi na mabint wao wanapenda vitu rahisi sana
  4. U

    Ideos inahitajika

    Ninayo ya tigo 0717501557 piga fasta tupatane
  5. U

    Share here your best browser in android smartphone.

    Tumia cm browser ndio kila kitu hiyo kwanza haichukui nafasi kubwa then ipo fasta sana
  6. U

    Naombeni msaada wenu please

    nimepeleka Laptop yangu compaq 515 kwa fundi ili isafishwe feni، lkn baada ya kusafishwa ilipo fungwa ikakataa kuwaka. kwa maelezo ya fundi akiifungua akijaribu kuiwasha inawaka lkn akiifunga akiiwasha inagoma kuonyesha،. kwahiyo fundi ameshindwa kuitengeneza، km kuna mwenye...
  7. U

    Naomba mnisaidie

    nielekeze jinsi kuclear kech
  8. U

    Naomba mnisaidie

    ina memory card 4GB nimedownload vitu vichache tu yana hata ukiifomati halafu usidownload kitu chochote lkn baada ya siku kadhaa inakuambia memory full,yana inakera sana, ila net ipo fasta sana
  9. U

    Naomba mnisaidie

    simu yangu samsung b920 ni android tatizo lake inajijaza internal memory yenyewe unaweza ukaicha free mb 16 lkn baada ya siku 2 inakuambia memory getting low futa baadhi ya vitu au simu itajizima inatokea hivyo hata kama Internet ipo off. nijejaribu kuerest mara kwa mara lkn bado.naombeni msada...
  10. U

    Orientation week ni ya lazima au.!?

    Ndio muhimu hata Mimi nimemwambia hivyo( muhimu) lkn sio lazima
  11. U

    Orientation week ni ya lazima au.!?

    kinafanyika zaidi ni viongozi wa chuo kujitambulisha na pia wanafunzi wanapewa usia jinsi ya kuishi chuoni pamoja na kuelezwa mazingira ya chuo na utaratibu kwa jumla. Nimuhimu sana kuwepo lkn sio lazima
  12. U

    Udom second years wote mnazungumziaje hii.

    N/B:ALL STUDENTS MUST PAY THE WHOLE AMOUNT OF TUITION FEE AND DIRECT COSTS. BANKING INFORMATION Payment should be made to the following accounts: BENEFICIARY: University of Dodoma BANKER: CRDB PLC, University of Dodoma Branch...
  13. U

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Bunge la TZ sasa limepoteza muelekeo
  14. U

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    saratani ni ugonjwa hatari sana hasa kwa akina mama
  15. U

    UDOM yawanyima raha wanafunzi wake

    Wanafunzi wa UDOM wanakosa raha kutokana na kutopata matokeo ya mitihani yao waliofanya mwezi wa Jun, Wanafunzi wanatakiwa kufanya supplementary kuanzia tarehe 15 October lkn bado hawajapata matokeo yao, hali hii inawafanya washindwe kujiandaa na mitihani hiyo.
Back
Top Bottom