Wanafanya bajeti ya idadi ya herufu kwenye meseji, mafano akiandika mtu herufi 3 kwahiyo anaandika m2 herufi 2 tu,sinajua vijana wasikuhizi na mabint wao wanapenda vitu rahisi sana
nimepeleka Laptop yangu compaq 515 kwa fundi ili isafishwe feni، lkn baada ya kusafishwa ilipo fungwa ikakataa kuwaka.
kwa maelezo ya fundi akiifungua akijaribu kuiwasha inawaka lkn akiifunga akiiwasha inagoma kuonyesha،. kwahiyo fundi ameshindwa kuitengeneza، km kuna mwenye...
ina memory card 4GB nimedownload vitu vichache tu yana hata ukiifomati halafu usidownload kitu chochote lkn baada ya siku kadhaa inakuambia memory full,yana inakera sana, ila net ipo fasta sana
simu yangu samsung b920 ni android tatizo lake inajijaza internal memory yenyewe unaweza ukaicha free mb 16 lkn baada ya siku 2 inakuambia memory getting low futa baadhi ya vitu au simu itajizima inatokea hivyo hata kama Internet ipo off. nijejaribu kuerest mara kwa mara lkn bado.naombeni msada...
kinafanyika zaidi ni viongozi wa chuo kujitambulisha na pia wanafunzi wanapewa usia jinsi ya kuishi chuoni pamoja na kuelezwa mazingira ya chuo na utaratibu kwa jumla. Nimuhimu sana kuwepo lkn sio lazima
N/B:ALL STUDENTS MUST PAY THE WHOLE AMOUNT OF TUITION FEE AND DIRECT COSTS.
BANKING INFORMATION
Payment should be made to the following accounts:
BENEFICIARY: University of Dodoma
BANKER: CRDB PLC, University of Dodoma Branch...
Wanafunzi wa UDOM wanakosa raha kutokana na kutopata matokeo ya mitihani yao waliofanya mwezi wa Jun, Wanafunzi wanatakiwa kufanya supplementary kuanzia tarehe 15 October lkn bado hawajapata matokeo yao, hali hii inawafanya washindwe kujiandaa na mitihani hiyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.