Kwa madudu haya ya TCU &NACTE viongozi wake wa juu wanapaswa kujihudhuru, Maana wameshidwa kuzitetea taaluma zao na ufanisi wao kwa jukumu walilopewa.
Matokeo yake wanakuja kusababisha usumbufu kwa waombaji. Mfano, walikua wapi kukifungia chuo cha IMTU mapema ili waombaji wasisumbuke nacho na...
wangetoa eligibility status mapema watu tuprocess ruhusa kwa waajiri, cjui wanafikiri wote tumejiajiri lol. Kweli bongo magumashi
ingekua wazungu kitambo mambo hadharani
Halafu mkuu nahitaji kui unlock cm yangu ni Huawei Ascend Y300 nisaidie mchakato unafanyikaje hapo ili niweze tumia mitandao yote na kufaidi huduma ya internet
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.