Kwa wale wanaofuatilia masuala ya kielimu tunakumbuka wazi kuwa serikali ilijitapa kuongeza mikopo kwa idadi kubwa
ya wanafunzi wa vyuo vikuu. kinyume na ukweli huo karibu 85% ya wanafunzi wahitimu wa kidato cha sita kuanzia mwaka 2008 kurudi numa wamekosa mkopo!!! swali langu ni kwamba kwa hali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.