Kwa nilivyoambiwa zle Direct costs unaweza kulipa kwanza 200000 'ie' pa1 na hyo accomodation humo humo, then na angalau nuxu ada then boom likitoka pesa yako ya accomodation utaifidia humo humo
thanx mkuu.. Xaxa mkuu kp bora kulipa Medcal Capitation au kujiunga na NHIF? Je, iwapo nitajiunga na NHIF je watanilazmisha nilipie na hyo Medcal Captation fee?
Habari zenu bhanah.. Ningependa kupata uchangaunuzi kuhusu suala la Medical Capitation fee(100000) ambalo lipo kwenye list ya Direct costs na suala la kujiunga na National Health insurance fund Tsh 50400/year ambayo imetangazwa na chuo cha Udom.. Kwa mimi hiv vitu viwili vinanichanganya xana...
thanx alot mkuu.. Ila kama mm kwa pesa hyo nina 100% mbona kuna mwenzangu amenizd ana M3.4 na 2po facult moja chuo kmoja na yeye atakuwa na ngap xaxa si itakuwa imezd hata hyo 100%.. Ufafanuzi tafadhali mkuu..!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.