Search results

  1. Gasper J J

    Lipumba asipomsikiliza mzee Rungwe atageuka jiwe la chumvi

    HAPO NILIPO BOLD NI YA KWELI HAYO
  2. Gasper J J

    Dalili muhimu za Professor Uchwara

    NA UNAWEZA KUWAKUTA WAMEJIFUNGIA BUGURUNI BADALA YA KUJIFUNGIA SITE WAKIUMIZA VICHWA KWA TAFITI ZENYE TIJA KWA JAMII
  3. Gasper J J

    Kutoka Jangwani: Uzinduzi wa Kampeni za Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) - Agosti 29, 2015

    toa bori kwenye jicho lako kabla hujatoa kibanzi kwa mwenzio, vp munarusha mawe ili hali mupo kwenye nyumba ya vioo mumesha saha mara hii 2010 kuna mgombea alikuwa anadondoka majukwaani nashukuru sumaye kesha waeleza ukweli wenu
  4. Gasper J J

    Elections 2015 Jasusi la CCM lilivyoiuwa CHADEMA

    wakumbuke wakati ule nyerere ndiye aliyewasaidia kuokoa jahazi lilikuwa limesha zamishwa vizur tu then sasahivi ameondoka L. Masha ambae ndiye level ya mrema kwa kipindi kile tunaye Tabwe tunae mzee mzima aliewamaliza leo ktk uzinduzi mweshimiwa sumaye na mkuu mwenyewe Lowassa
  5. Gasper J J

    Kikwete: Zama za kuamini kuwa CCM ikipitisha mgombea huyo ndio anakuwa Rais zimepitwa na wakati

    nasema ccm wakibisha na wapigwe tu kwasababu hatuna namna lazima ukawa wachukue nchi na hawa ccm waelewe nchi hii inaendeshwa kwa misingi ya kisheria hawawezi kuwakata mawaziri wakuu wote walioomba kuteuliwa alafu wabaki salama
  6. Gasper J J

    UKAWA haikujiandaa kwa mafuriko haya

    yoyote yule anaeogopa changamoto kamwe hawezi kufanikiwa maishani mwake. katika vitu vinavyo sababisha kudumaa kwa vyama vya upinzani ni pamoja na mawazo kama haya yako.
  7. Gasper J J

    Kwanini Lowassa havai vazi rasmi la CHADEMA maarufu kama gwanda?

    cha msingi si mavazi tunachotaka nidhamira ya kweli ya kulikomboa taifa, hata baba wa taifa hayati nyerere hakuwahi vaa vazi la ccm ili hali alikuwa ni mwasisi wa chama.
  8. Gasper J J

    Japo hakuna kupokezana: Kiukweli, kihaki, kihalali na ki-Muungano, 2015 Si Zamu ya Zanzibar?

    natamani ije kutokea ingawa najua haitakaa itokee kwani ni sawa na kuzungumzia jua kubadili mwelekeo
  9. Gasper J J

    Japo hakuna kupokezana: Kiukweli, kihaki, kihalali na ki-Muungano, 2015 Si Zamu ya Zanzibar?

    ni vyema raisi ajae awe ni kiongozi anae weza kututoa hapa tulipo na kutupeleka kule tunapo tarajia tukianza kuangalia anatoka wapi hatutapata kiongozi bora kwani itafika mahali watasema sasa ni zamu ya unguja na si pemba na huku bara tutasema sasa ni zamu ya kaskazini kwani kanda ya ziwa...
  10. Gasper J J

    Kura ya Maoni: Muundo upi wa Muungano unafaa?

    ktk uhalisia wazanzibari wanataka serikali tatu, na wanaamini hilo litaipa serekali yao nguvu ya maamuzi zaid na uchumi wao utakuwa kwa kasi naisipokuwa hivyo kero za muungano hasitaisha kwani waanzilishi wa kero za muungano ni zanzibar na sasa imefika mahali watanganyika tutaanzisha kero za...
  11. Gasper J J

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?

    itabidi waje bara kwani ndiyo kwao isitoshe kwa sasa hawaruhusiwi kumiliki ardhi zanzibar je inakuingia akilini kusikia rais JK alikaa na mwenzie wa zanibar na kuvunja katiba ktk swala la mafuta na gesi, je inakuingia akilini ukiwa kama mtanzania kutomiliki ardhi zanzibar ila wao ruksa kumiliki...
  12. Gasper J J

    Peter Kisumo adai Warioba ndiye chanzo cha serikali tatu!

    Arejee maamuzi ya hayati nyerere kuhusu vyama vingi, mbona hakumkosoa. isitoshe hayo ni maoni ya watanzania walioonyesha ujasiri wakujadili kile kisichowapedeza ccm na kilichokuwa kimekatazwa na Mweshimiwa (usiede kujadili muungano) je asingekataza ingekuwaje? kama walivyosema wanatuletea katiba...
  13. Gasper J J

    Chanzo cha kufifia kwa chama cha CUF katika ramani ya siasa Tanzania

    toka vyama vingi vimeanzishwa safu yao ya uongozi wa juu haijawahi kubadilika mfano mzuri ni watu wale wale wanagombea urais miaka yote. kutokutambua umuhimu wa msomi profu Safari , chadema sasa wanamtumia vizuri hata kumaliza tofauti/ migogoro ya ndani ya chama. kuwekeza nguvu kubwa visiwani...
  14. Gasper J J

    Chanzo cha kufifia kwa chama cha CUF katika ramani ya siasa Tanzania

    toka vyama vingi vimeanzishwa safu yao ya uongozi wa juu haijawahi kubadilika mfano mzuri ni watu wale wale wanagombea urais miaka yote. kutokutambua umuhimu wa msomi profu Safari , chadema sasa wanamtumia vizuri hata kumaliza tofauti/ migogoro ya ndani ya chama. kuwekeza nguvu kubwa visiwani...
  15. Gasper J J

    FBI kuhusika katika kuchuja viongozi watakaompokea Obama

    kwa hizo cku 2 oboma atakapokuwa dar, dar ni nchi kamili na siyo jiji kwa hicho kipindi kwani kila kitu wana monitor na kuoperete intel..... na haya maamuzi nani awepo na asiwepo nk. na hii nchi sijui niite nchi gani vile, na huu ni uzalilishaji kwa nchi yetu
  16. Gasper J J

    Muungano: Maalim Seif aipa tume ya jaji Warioba masharti

    muungano ulipatikana kwa sababu flani na kwa sasa zile sababu hazina mashiko. sisi watanganyika muungano umekuwa mzigo kwetu na kero nafikiri niwakati wa kuwaacha hawa jamaa wabaki na zanziba yao nasisi tubaki na tanganyika yetu
  17. Gasper J J

    Tume ya Warioba yaja na Rasimu ya Katiba yenye maamuzi mazito...

    big up haya ndiyo mambo ambayo watanganyika tunayaitaji, vile vile spika asitokane na chama chochote ili maslai ya taifa ndiyo iwe kipaumbele na si maslai ya vyama , waziri mkuu tumchague ili awe na maamuzi na si kutuletea habari za ingekuwa ni uamuzi wangu D. Jairo ninge...
  18. Gasper J J

    Mbunge, Naibu Waziri watajwa mauaji ya kamanda Liberatus Barlow! Shuhuda ahifadhiwa kwa IGP Mwema...

    Barlow alikuwa ni mtu mwenye cheo kikubwa, na hayo melezo kama yana ukweli basi huyu jamaa hawezi kupona kwani waliohusishwa ni watu wazito na wapo kwenye vyombo vya maamuzi nasema hivi kwani tz ni nchi isiyojali mfumo wa sheria hasa linapokuja swala la kesi za vigogo. mfano mdogo sana ni pale...
Back
Top Bottom