Do! zungukeni kote lakini mwisho hakikisheni unatueleza tunatokaje kwenye umaskini uliokithiri tunaokaa nao bila sababu huku tukiendelea kuwaheshimu na kuwajengea himaya viongozi wasio waaminifu katika mali na raslimali za taifa.
Pole sana ndugu
nikuulize maswali mawili kisha nikushauri
Mkeo ulimkuta ni bikira? kama ulimkuta bikira je na wewe alikuwa mwanamke wako wa kwanza katika maisha yako? kama haya yote majibu ni hapana ni kwamba toka mwanzo mlioana wote mkiwa mme wa mtu na mke wa mtu (yaani ukioa mwanamke ambaye...
kuna wakati huwa sielewi kuwa napandisha mlima au nashuka? lakini muda unaenda kwa kasi sana na mikono yangu haijui ilichoshika. katika yote wacha tuendelee kuzibebesha nafsi zetu kwa kadri ya faraja inayofikiri yafaa.
Do! mama ntilie wakati mwingine unaweza kufikiri hawajui wanachotafuta, unaweza kwenda kununua chapati tupu wakakukatalia kuwa hawauzi bila chai, haya siku nyingine unaenda unataka chai tupu hawataki tena!
kuna mtu alinifundisha kuwa kadri unavyozidi kuwa mkubwa uwezo wako wa kutumia akili unapungua na unabaki kutumia busara na hekima.
uchumi unajengwa kwaakili na maarifa pia tekinolojia.
Sasa sisi tunaendelea kuwaruhusu na kuwakubali watu walewale toka wakiwa vijana na sasa wanavitukuu...
umeandika mengi sana na mengine umeihukumu bila sababu lakini lililokubwa ni kwamba umejihesabia haki na wengine ukawaona ni takataka; lakini kaa ukijua kanisa haliendi mbinguni safari ya mbinguni ni ya mtu binafsi.
injili ya kuwatenga wadhambi imepitwa na wakati tunahitaji wadhambi waje jinsi...
huhitaji wakati mwingine wala haya makanisa ya Kilokole ili kuacha tabia mbovu.
wako vijana wameokoka lakini wanakila tabia mbovu hukohuko ulokoleni wanawashughulikia mabinti kupita kiasi na pia ni walevi.
wako pia vijana hawajaokoka lakini ni waaminifu mno kwa MWENYEZI MUNGU wanamweshimu MUNGU...
watawala wengi hawako tayari kujifunza na wataalamu wetu wamefyata mkia wanafanya wanayotaka watawala wanaogopa kugombana na Kaisari.
sijui kama wanajua thamani halisi ya shule zao na kwa jinsi watanganyika wanavyowategemea.
lakini wakae wakijua watanganyika wamechoka siku wakiamua hapatashikika...
sijui tunaenda wapi lakini kadri siku zinavyokwenda viongozi tunawafanya kama wanasesere wa udongo utafikiri hawakutoka kwenye familia zetu hii mbaya sana.
kibaya zaidi tunatengeneza mazingira ya kuzilinda koo fulani zitutawale milele wao na kizazi chao!
Kabla ya hata mkoa haujagawika unaweza...
binafsi huwa najiuliza kipindi cha Wakoloni na Nyerere mpaka Mwinyi tulikuwa na mikoa michache na wasomi wachache achilia miundo mbinu hafifu(haikuwepo kabisa) lakini nchi haikuwa na lundo la viongozi.
sasa tuna viongozi wasomi lakini wengi ni watawala wako kuimega vizuri keki ya taifa.
binafsi...
nafikiria hivyo pia.
bahati mbaya semi za zamani hazina nafasi kwa siku za sasa vinginevyo tungesema ngoma ikivuma sana hupasuka. toka kipindi cha Adamu wanawake hawajawahi kuona mbali (inawezekana sio wote inategemeana na tukio) na mwisho wa siku huanguka vibaya.
hata mimi ningekushauri uuze kama ofa inalipa ili uwende kujenga kwingine vinginevyo hao kukudhurumu sio shida kwao na hela ya kuendesha nao kesi huna.
mwisho wa siku watakupa bei wanayotaka watakwambia fedha nyingi imepotelea kuendesha kesi na wewe hivyo chukua kilichopo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.