Hutaweza alezwa hapa kwa ufasaha ni maelezo marefu. Ila ni kitu kinachoelezeka na justfiable. Mimi mwenyewe nafanya na napata hela nyingi. Tunacheza na concept ya kutengeneza network yako. Ingiza watu watatu, wafundishe na wasaidie walete watu watatu watatu nao walete watatu watatu, nao walete...
jamani, muwe waelewa. you can not explain each and everything here kwa sababu kuna watu always they have negative moods . Amabao wako tayari will definetely come, as other have already seen the oportunity.
Mwaka 2014 ndo huo uko mdomoni, je utaumalizaje?
Wengi wetu mwaka 2013 ulikuja na hatukufanya chochote cha kuleta tofauti sana.
Nikukaribishe kuungana nami ili nikuonyeshe namana ya kuufanya mwaka 2014 uwe mwaka wako wa mafanikio. Ni biashara ambayo unaweza kufanya muda wako wa ziada kama ni...
Habari wana JF.
Ninasafiri kikazi kwenda Pemba, naomba kama kuna mtu anayejua normal hotel or decent guest ambayo naweza kukaa aniadvise. Sijawahi kabisaa kufika huko kwenye visiwa vya karafuu. Chondechonde wasije wakani Fr. Mushi.
Hebu wana sheria watusaidie hapa. Ushahidi unapelekwa polisi au mahakamani? Ninavyoelewa ushahidi unakuwa adjused mahakamani na si polisi. Zaidi ya hapo polisi hawawezi kumlazimisha kiongozi wangu wa chama kuutoa kwao kwani hakuna sheria inayoruhusu. wanachofanya polisi ni siasa za maneno tu...
Habari za shughuli wana JF. Nimeona niwaletee kisa hiki kidogo ili kitufundishe tusiingie kwenye hili jambo.
Mchana huu hapa opposite na mlimani city tumemkuta kijana huyu (picha attached), akiwa hajielewi kabisa na yuko hoi, watu wakiwa wamemzunguka kwa mbali. Kwa maelezo ya mashuhuda alikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.