Nimetafakari sana juu ya misada inayotolewa kila uchao na Marekani kwenda Ukraine, na jambo Moja limenijia kichwani, VITA YA SYRIA, tunakumbuka wakati utawala wa Assad ulivyokaribia kuporomoka Baada ya kupata mashambulizi mazito Toka Kwa ISIS(ISLAMIC STATE OF IRAQ AND SYRIA), kundi la kigaidi...
msaada tutani waungwana, nahitaji kufanya maamuzi ya kuingia postal bank, naomba kwa anajua mashahara wa credit clerk(bachelor holder). Hilo tu waungwana.
Ungana na mimi kusaidia kazi ya kuwaweka hadharani watu wenye vyeti feki eneo lako la kazi(hasa serikalini), ili wenye sifa waipate stahiki yao(ajira) na pia kuirahisishia serikali kazi ya kuwatafuta.
Naomba mnikumbushe kesho juu ya kuiendeleza hii thread, ila kwa sasa ngoja nianze hivi, Lowassa ametoa ahadi ya elimu, well wengi wenu ni waalimu, na by nature mlilazimika kusomea ualimu sio kwa kupenda, ni kutokana na kwamba shahada ya elimu ilikuwa financed na bodi ya mikopo, sasa fikiria...
Miaka kadhaa nyuma, niliwahi fikiria Tanzania hakuna upinzani wenye nia ya dhati ya kuwakomboa wanachi toka mikononi mwa CCM, nadhani sasa yanatimia, mwaka huu CCM kwa mara ya kwanza itasimamisha wagombea wawili katika kinyang'anyiro cha urais, na hili halipingiki.
Hakuna asiyejua kuwa lowassa...
Sijajua ni mazoea au ni malezi, kuna mama mweupe mmoja yupo ofisi ya admission, hana huruma na wanafunzi hata kidogo, mimi nilienda kufanya clearance yangu leo, kumbe vijana wanafanya mitihani, sasa kuna wale loan beneficiary ambao boom halijatoka mpaka leo na wanategemea walitoe sehemu kama...
Nini maoni yako endapo bunge litaendelea kukumbwa na mivutano inayoendelea?
Unadhani nini kifanyike ili ifikapo mwakani, tuwe na katiba mpya kabla ya uchaguzi?
Natanguliza salaam! Ninapenda kuuliza, inagharimu kiasi gani cha pesa kutengeneza test tube baby,kwa wazazi ambao hawawezi kupata mtoto kwa njia ya kawaida!
Jioni kareem!
Natanguliza salaam! Ninapenda kuuliza, inagharimu kiasi gani cha pesa kutengeneza test tube baby,kwa wazazi ambao hawawezi kupata mtoto kwa njia ya kawaida!
Jioni kareem!
Kwangu imenipotezea ladha ya jamiiforums kabisaa! Huwa naingia kwasababu tu,ni sehemu niliyokuwa nimeizoea
I don't feel the same as it used to be!
Wito: punguzeni ban zinazoweza kukwepeka!
Kuna sababu moja tu inayonifanya nipende siasa za Tanzania!
Siasa zinaendeshwa na upepo,upepo ukiisha,tunarejea katika hali ya kawaida
Rejea suala la Zitto!
Ilikuwa imezoeleka kuona matangazo ya kazi magazetini yakihitaji mtu mwenye bachelor akihitajika,na mara chache sana nimeona mtu mwenye diploma akihitajika
Ili kilichonichanganya leo,ni pale nilipoona tangazo likiwa katika hali ya BLACK AND WHITE,kwenye Nguzo ya umeme,ikihitaji mtu mwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.