Umeongea vema hasa kwamba wabunge wamekuwa waajiriwa badala ya wawakilishi.
Ni kweli hakuna ubunifu kabisa majimboni. Mbunge ni kiongozi anatakiwa kumobilise siyo kila kitu kusubiri serikali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole rafiki! Ushauri ndo huu; toa taarifa kwa wazazi wako hata kama unajua utakuwa umewasha moto, watakulaumu sana bt watatafakari pia namna ya kukusaidia. ujue binti kwao atalaumiwa sanaaaaaa, bt inategemea wazazi wake understanding yao, ila ujue sasa umekuwa mtu mzima, kazi kubwa ipo huko...
usihusishe Mungu na ujinga wa lowasa! hata wewe fikiria wazo lako upya! nchi hii haiwezi kuliwa na panya kiasi hiki. kama umepewa sabuni ya roho na lowasa, imekula kwake mazima! afadhali tumpe mtikila ambaye kila kesi anayoshtakiwa na serikali anashinda!
Ni kweli lowassa ni jembe! "zimwi likujualo halikuli likakwisha" ikifika mahali tukafika njia panda ni heri kufanya maamuzi magumu! Kumteua lowassa kukimbiza urais ni kufanya maamuzi magumu. Nchi hii ilipofika inahitaji kiongozi dikteta!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.