Akili za watanzania original ziko kama hizi. Unasema aache kuifananisha Tanzania bara na Zanzibar eti uchumi wa bara unategemea vitu vingi!! UMEELEWA ALICHO ANDIKA MLETA MADA? Kuwa navyo hata milioni lakini bila akili hatufiki kokote!!
Kweli wewe akili yako haijui kupambanua mambo! Ngoja nikusaidie........
Kwanza ujue walio mshauri Samia kwenda Kwa Maaskofu ndio hao hao state....
Pili, Bank ya mkombozi katika Saka like ilitumika kama kakapu kinavyo tumika kubeba matunda sokoni. Fedha zile ni za mtu mwenye akaunti...
Jibu hoja, kama huna hoja Kaa kimya. Salm Kikeke ameo mke Mwingereza, which means automatically ni RAIA wa uingereza ! Je uraia pacha unaruhusiwa Tanzania???
Hapo ndio Huwa mnajichanganya nyie wasomi wa Kiislamu. Sina mashaka hata kidogo kuwa wewe umesoma, lakini dini Bado ina ku drag mad! Umezungumza mambo mengi lakini unakosa tools of analysis.kwanini? Unachanganya hoja.
Kwanza hakuna mtu hata mmoja anaye kataa uwekezaji !
Pili, aliyeikataa Do...
Subiri uone! Wakatoliki waukataa Mkataba.
CCT wanafuata.
Wasabato leo au kesho wanatoa uelekeo wao.
Kimsingi wapiga kura wote wa Tanganyika hawautaki.
Sasa 2025 Bado mtabaki na serikali???
Kumbuka hapo bado mambo mengi hayaja toka......!
Nje ntiti ndani ntiti.
Naam wanabidi,
Kama mada inavyo jieleza, UKISIKIA NDANI ntiti nje ntiti ndio hii sasa. Leo makanisa ya Wakatoliki yatajaa Nia na madhumuni ni kusomewa waraka wa Maaskofu kuhusu Mkataba wa bandari zetu na DP world.
Huko Amerika, Diaspora jana wameandamana wakisema BANDARI ZETU URITHI WETU...
Endelea kuota ndoto za mchana. Tunajua mengi kuliko mnavyo fikiria, muda utaongea.
This time hamchomoki. Vijana wengi serikalini wameichoka CCM na ukitaka kujua ni jinsi huu Mkataba ulivyo leak na sasa taarifa kwamba ndege ya Rais imeshikiluwa huko Dubai.
Baki na ubwege wako! Unadhani Kitenge ana uwezo wa kununua V8 Kwa fedha yake? Kwa mshahara upi?
Unafikiri kwanini ndege ya Rais inashikiliwa Dubai? Wanataka Mkataba au fedha zso zirufishwe zaidi ya trilioni 5
Kwanini wanataka kutufanya wajinga wote? Kuna watu serikalini wameichoka CCM na ndio...
Tafuta namna ya kuishi hutapata shida kama ilivyo sasa.
Nikuulize Swali Moja tu, kwanini unatamani watu wenye akili na ufahamu mkubwa wa mambo wasidhiriki Siasa? Unatamani ubaki na watu wasio na maarifa kichwani?
By the way, serikali ni kikundi Cha watu wachache tu na kama wanataka...
Shida kubwa ni kwamba aliwaamini sana washauri wake hasa kutoka Msoga.hapo shida ikaanza.
Ama kuhusu hili la Bandari ni tamaa yake tu kutaka 2025 agombee Urais Kwa ufahari mkubwa akaamua agawe bandari Kwa wageni ambayo wamempa rupia si haba.
Wajuzi wa mambo wanasema ni dolari 2.5...
Niliwahi kusema kuwa Lord denning ana matatizo ya ubongo! Ni mfuasi wa CCM asiye fikiria kabisa.
Hawa cct, wako smart kweli kweli. Waumini wao ni wengi in such a way wakiwaambia mtu ni mbaya asopate kura, hapati kweli.
CCM kama hawajipendi waendelee kushupaza shingo.
Habari wana jamvi,
Nimetafakari mambo mengi kisiasa, mwisho nimeridhika kuwa hakuna Rais wa Tanzania awezaye kushinda Tuzo ya Mo Ibrahim.
Nimefikiria mambo anayo fanya Rais Samia, utadhani ameshahakikishiwa kwamba 2025 hatoboi. Anauza rasilimali za Nchi kwa bei chee, lakini za chini chini ni...
Kwa wasio jua ni kwamba Balozi Nchimbi ni kijana anaye pendwa sana na Kikwete.
Wakati a naomba PhD Mzumbe haku qualify, lakini kimemo kutoka Ikulu Kwa maana ya Kikwete aliwaagiza wasimamizi wake kuhakikisha anapata PhD yake kabla ya uchaguzi mkuu 2015. Akapewa!!!
Actually...
Sijawahi kufikiri kama akili ndogo hivyo. Hata hao FBI inawezekana wamefikia hatua hiyo labda kwasababu mtuhumiwa hakutaka kujisalimisha. Kimsingi wenye mawazo ya kuua ni wajinga kama wanao unga mkono mauaji.
Jiulize mahakama na jela zipo kwaajili gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.