Katiba mpya iondoe kabisa viti maalum!kwa kiasi kikubwa ndio wanasaidia kupitisha yasiofaa hapo bungeni!tupige marufuku kabisa hakuna viti maalum tenaa!nina uhakika ili likikubalika asilimia 70 ya wabunge waliopo bungen leo hawatarudi tena 2015
Mwakan patakuwa na mshike mshike sanaa kwenye bunge la bajeti!ahadi nyingii zitakuwa bado hazijatekelezeka!na wabunge watakuwa wakali dhidi ya serikali yao ya CCM!wabunge wa CCM watagawanyika nusu wanaoisapoti serikali na wale wasio isapoti!hapo ndipo tutashuhudia anguko kuu la CCM!kama...
Haaaa!how come wanakaaa na pesa yote hiyo bila kuipeleka BOT??hako kabenki ni kadogo wala hakana wateja wengi so lazima limit ya kukaa na pesa strong room pia itakuwa ndogo!ss ilikuwaje wakakaa na pesa yote hiyo ndani??hata kama limit inaruhusu lazima kuna watu wa ndani wanahusika bana!
yaan kwakweli leo saa moja asubuhi nilikuwa manyanya just imagine mpaka saa mbili kamili asubuhi nilikuwa sijavuka pale kwenye mataa ya salender.yan trafic wanapenedlea sana ile njia ya magari yanayotoka mwenge.it is not fair please kama kuna mhusika humu ashughulikie hili swala.
Binafsi nashangaa mbona hawa watu wanaonekana maskini sana??nyuso zao zinaonyesha hawana matumaini ya maisha kabisa.but nchi zote zenye misukosuko ya hawa wanajeshi wakiislam wenye siasa kali wanamaisha magumu kweli sijui sababu nini.
leo huku kinondoni sijui kuna nn??asubuhi kulikuwa na milio ya risasi pilisi walikuwa wanakimbizana na majambazi.
saa hizi tena ni mabomu ya machozi mimi nilidhan labda kama yale ya gongo la mboto.watu wamekimbia hovyo hovyo usiku huu.
Binafsi nmesikia PJ kwenye uchambuzi wa magazeti akiisimulia hiyo story.huyo kibaka amekamatwa na simu aliyoikwapua ameiuza kwa elfu ishirini sasa nikajiuiza yan hiyo 20,000 ndo umtoe mtu roho???na kakiri kabisa kwamba alivyopiga kelele aliamua kumpiga na kitu kizito kichwan na akataka kumbaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.