wananchi wa kijiji cha ndwika wilaya ya nanyumbu wameonja utapeli wa serikali baada ya mwenge wa UHURU kuzindua mradi wa maji kutoka mto ndwika na kupata maji hayo kwa siku hiyo ya uzinduzi tu basi.hadi sasa maji kijijini ni shida na wananchi wanaendelea kuteseka na kiu kubwa.generator...
Wakati serikali ya CCM wilaya ya Masasi ikiwachimba mkwara waalimu wilayani humu mwalimu taja hapo juu ni mwenyekiti wa umoja huo hapa Masasi na hakuna anaeyeji hilo.
Mbaya zaidi amekuwa jeuri shuleni kwani aheshimu mkuu wake wa shule na kuwavunja moyo walimu wenzake kwa kuwabeza kwamba yeye...
ndugu wana JF,
Naomba kwa mara ya kwanza niwahabarishe kile kinachoendelea kwenye Mahakama ya Wilaya Masasi,hususani kesi zinazohusiana na vurugu zilizotokea tareehe 26/01/2013,maarufu kama kesi za MABOMU.kwa kifupi vurugu hizo zilianzia kwenye kituo kikuu cha polisi hapa masasi,kati ya...
kwani mbona mnatumia nguvu nyingi kunadi zito?chama chetu kina utaratibu mzuri wa kupata viongozi,kwa sasa DR hana mpinzani mwacheni ajenge chama .mda ukifika kama ataonekana kupwaya basi atapewa mwingine na inawezekana asiwa zito,kwani kila mwanachama ana nafasi ya kuwa kiongozi endapo atakidhi...
safi sanaaa jamani mkakati wa ccm ni kuvuruga chama kwa ktumia vipandikizi hivyo makamanda lazima tuwe macho na mgojwa huyu aliyetaabani akisubiri kufa.
sina dugital camera ila nitajitahidi niipate ili muweze kupata picha halisi isije ikaonekana kama ni danganya toto,si mnajua tena hadi tuuze korosho na bei zenyewe ndio hivyo sisiem wamechakachua
M4C leo ipo kijiji cha Nambawala kata ya Lukuledi wilaya ya Masasi, tunafungua tawi katika kijiji hicho.Watu karibu 200 wamejiunga na CHADEMA sijapata kuona tangu nianze kazi ya kujenga chama ndani ya wilaya hii, sasa hivi tupo kwenye maandamano makubwa kuelekea sehemu ambapo tawi limejengwa...
wamechanganyikiwa na mabadiliko yanyoendelea,pia wanafanya kosa kufight with wrong enemy(cdm)wakati adui yao mkubwa ni mfumo na utendaji mbovu wa serikali yao
mkuu hapo nakupa mia kwa mia,hivyo vyombo viwili ni muhimu ili kuweza kupata taarifa sahihi za chama,pia kutakuwa na nafsi mzuri kwa wanachama kujua nini kinaendelea,kwa sasa hakuna njia sahihi ya mawasiliano kati chama kwa maana ya uongozi na wanachama
nionavyo mimi na ukifuatilia mwenendo mzima wa mkutano wao utagundua kuwa ccm wamefanya umafia wa demokrasia,kwa sababu kwa mgawanyiko uliopo hutegemei mtu apate kura zote,waliamua kuficha aibu,kwa mfano mangula hata kwao hawampendi iweje kwa siku mbili tu abadilishe upepo?ukweli unabaki kuwa...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo wilaya ya Masasi kimeanza kupata mafanikio makubwa baada ya wananchi hasa waishio vijijini kuanza kujiunga na chama.
Taarifa kutoka ndani ya chama hicho zinasema tayari baadhi ya kata zimekamilisha chaguzi zake kwa ngazi za msingi,kutokana na mafanikio hayo...
chadema wilaya ya masasi inatarajia kufanya mkutano mkubwa eneo la STEND YA MABASI itakayo endendana na uzinduzi wa matawi mawili eneo la stend na lingine kule nyasa west,wana m4c wote na wananchi wapenda mabadiliko mnaalikwa kuhudhuria mkutano huo.KWA PAMOJA TUUNGANE TUIJENGE MASASI YETU.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.