wao vilaza,nyie mnaxoma kwenda wapi? eti memkwa oo shule za kata,c mlimpiga chini lowasa na kusahau msingi wa shule za kata aliuweka yeye,comaeni nazo na viongoz wenu vilaza.
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 21, ni mrefu, mwembamba, maji ya kunde...elimu yangu ni ya sekondari, ninatafuta mchumba ambae tutaoana baada ya kusomana tabia, sijali rangi,dini wala kabila....mengi tutazungumza tutakapowasiliana....aliye tayari namba angu ni 0762007094 (usibip tafadhari...
dhoruba lijalo ni kwa ajiri ya wambeya, wachawi, waongo na wachonganishi.....Waebrania 5:7-12...nahisi na wewe muandishi umetajwa kwenye ka-kipengele kamojawapo kanakokabiliwa na dhoruba lijalo.
ole wenu wale wote wenye vipaji vya kutapatapa na usaliti ndani ya mioyo yenu kwani umauti wenu utaambatana na dhoruba kali ya nguvu ya umma: Samwel 7:9-11
nasema waacheni wale wote wasiosikia na waliojiondolea ufahamu juu ya adhabu nilioiandaa kwa ajili yao...nimewaandalia moto mkali wa blue: Mathayo 12:6-9
nina mashaka na kauli yako, mimi hapa ni Padri wa kibongo lakini mbona waumini wananishobokea kinoumah na ninabadilisha waimba kwaya kama bodaboda alafu siwapi hata senti zaidi ya kuwaambia waongeze sadaka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.